Msaada: Flash ya 16 GB haisomi

SangaweJr

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
2,967
2,631
Msaada au maelekezo ya namna ya kufufua flash iliyokufa ( haisomi ) storage yake ni 16Gb. Mwenye ujuzi tafadhali
 

Ngoja niwasubiri wenye ujuzi ktk hili. Sababu source ya tatizo nili record vipindi kwakutumia king'amuzi cha azam, then nikawa na tumia pc kifuta vile nilivyo record vikawa vinagoma kufutika, ikanibidi ni fomart flash ndio ikazingua mazima.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niwasubiri wenye ujuzi ktk hili. Sababu source ya tatizo nili record vipindi kwakutumia king'amuzi cha azam, then nikawa na tumia pc kifuta vile nilivyo record vikawa vinagoma kufutika, ikanibidi ni fomart flash ndio ikazingua mazima.


hata mimi ya kwangu imekufa kupitia hiko kingamuzi cha azam tv
 
Msaada au maelekezo ya namna ya kufufua flash iliyokufa ( haisomi ) storage yake ni 16Gb. Mwenye ujuzi tafadhali

Mkuu kama hutajali tupa tu ununue nyingine, kuna watu wanaishi kwa kutegemea kuuza flash tu
 
Mkuu kama hutajali tupa tu ununue nyingine, kuna watu wanaishi kwa kutegemea kuuza flash tu

Hilo linawezekana mkuu, lakini kutokana na nazinguira ya kufa kwake sijashawishika kununua nyingine.
 
sikumbuki vizuri ata mimi nilishawahi kufanya hivyo ikawa haionekan alaf nikawa babonyezabonyeza ikawa inaniletea hio flash ikae katka format gan nikafankiwa kuirudsha but sikumbuk vzur na naogopa isije ikawa niliotea
 
sikumbuki vizuri ata mimi nilishawahi kufanya hivyo ikawa haionekan alaf nikawa babonyezabonyeza ikawa inaniletea hio flash ikae katka format gan nikafankiwa kuirudsha but sikumbuk vzur na naogopa isije ikawa niliotea
Hahahaaaaaa sawa mkuu...
Ngoja niwe mvumilivu najuwa wataalamu watakuja tu.
 
Back
Top Bottom