BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 320
- 495
Inshort' Nilinunua flash yangu GB 16 imation nikaweka file zangu important ila finally hii flash Ikawa haisomi Tena Baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa.
Baadae nikanunua nyingne ya GB 8 ila kampuni ni Disk, sasa na yenyewe haisomi tena baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa.
Changamoto hizi zinakuja baada ya kuitumia kwenye Mac Computer, baadaye kwenye Redio saboofa.
Please, kama kuna mtu anaweza kujua fundi au namna ya kutoa material nipe taarifa please, najua Technologia ni pana sana.
Nawasilisha.
Baadae nikanunua nyingne ya GB 8 ila kampuni ni Disk, sasa na yenyewe haisomi tena baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa.
Changamoto hizi zinakuja baada ya kuitumia kwenye Mac Computer, baadaye kwenye Redio saboofa.
Please, kama kuna mtu anaweza kujua fundi au namna ya kutoa material nipe taarifa please, najua Technologia ni pana sana.
Nawasilisha.