Habari wanaJF wenzangu.nimepata trainee ktk kampuni ya TICTS,natakiwa kuripoti jumatatu ijayo,nimemaliza chuo na mina Advanced Diploma in IT..naomba msaada kwa waliowahi fanya field au traineehapo je,wana support yoyote ile?je wana kawaida ya kuajiri watu walioko field?..