Hii pia ni changamoto, wenzetu wanataka ubora sana, kuna mdau kule ni ndugu ndiyo ananipa details vitu kama hivyo, nini cha kuboresha nini kinahitajika, ikifaa na ukaweza awamu tatu kusafirisha aisehh utatengeza pesa nzuri sana, hujakosea mkuu wenzetu wana base sana kwenye quality, huku africa ita damp place tunapokeaga tu mavitu toka mabara mengine bila kuzingatia hilo ndiyo maana Japan wameteka soko la magari africa magari used tena mengine yanakuaga yana ubovu...Mi mwenyewe napendaga biashara za kuexport
Sasa nikawa na fatilia duuhh nje nao wanamasharti
- mfano mchele wanataka useme umecontain kiasi gan Cha maji
Quality
Aina
Sijui vinini...yaan hatari
Unatamani ku export why not usijaribu mkuu nini kinakwamisha kwa upande wakoMi mwenyewe napendaga biashara za kuexport
Sasa nikawa na fatilia duuhh nje nao wanamasharti
- mfano mchele wanataka useme umecontain kiasi gan Cha maji
Quality
Aina
Sijui vinini...yaan hatari
Ni kweli kuna boss, nitafanyia kazi ushauri wako naweza kufanya mazungumzo na bakhresa nitaanda project proposal nionane tunaweza fanya kitu na nione mimi pia itanilipa kiasi gani,Unachosema ni sawa ila kama walivyosema wadau kuwa huko mwanzo kuwa nchi za wenzetu wapo makini sana hasa kwenye suala la vyakula, kwa hiyo inabidi ufahamu vitu vingi katika bidhaa unayohitaji kupeleka ikiwemo labda mbolea zilizotumika kukuzia hayo mahindi na mambo kadha wa kadha, je itaweza kuwa rahisi Kupima bidhaa yako ambayo utaichukua kwa wakulima tofauti ambapo kila mkulima amelima anavyojua yeye...?
Coz kwa mtu kama MO natumai anaweza kuwa na mitambo mingi inayoweza kufanya hivyo, kwa hilo umejiandaaje mkuu...?
Ni kweli kuna boss, nitafanyia kazi ushauri wako naweza kufanya mazungumzo na bakhresa nitaanda project proposal nionane tunaweza fanya kitu na nione mimi pia itanilipa kiasi gani,
Shida moja ni hii
Naweza kuwacheki bakhresa wakakataa ushirika wetu na idea yangu nikaondoka wakaanza kuifanyia kazi dah waAfrica tuna roho ngumu sana,
Mkuu bado hujafanikisha hii issue kwani utupe ABC zake? Maana longtemps uliuliziaNi kweli kuna boss, nitafanyia kazi ushauri wako naweza kufanya mazungumzo na bakhresa nitaanda project proposal nionane tunaweza fanya kitu na nione mimi pia itanilipa kiasi gani,
Shida moja ni hii
Naweza kuwacheki bakhresa wakakataa ushirika wetu na idea yangu nikaondoka wakaanza kuifanyia kazi dah waAfrica tuna roho ngumu sana,
Mkuu kuna hii nondo ulinipa imenisaidia sana,Sina uzoefu wa biashara hiyo ila kwa kuanzia, tembelea hizi link:
- Tovuti Kuu ya Serikali:
- Imports and exports
Na wasipoamua kujiondoa EU kesho, hii link inaweza kuwa muhimu pia
http://ec.europa.eu/food/safety/docs/ia_ic_guidance_import-requirements.pdf
Upepo wa UK kubaki au kujiondoa EU utabadilisha taratibu za biashara pia. Jaribu kufuatilia na ubalozi wa UK nchini. Vile vile ukiwasiliana na ubalozi wa Tanzania uliopo London, hizi ni taarifa ambazo wanapaswa kukupa pia.
Kila la kheri
Nicheki PM kuna mahal nimekwama noamba ufungue pm nikuulize kituSina uzoefu wa biashara hiyo ila kwa kuanzia, tembelea hizi link:
- Tovuti Kuu ya Serikali:
- Imports and exports
Na wasipoamua kujiondoa EU kesho, hii link inaweza kuwa muhimu pia
http://ec.europa.eu/food/safety/docs/ia_ic_guidance_import-requirements.pdf
Upepo wa UK kubaki au kujiondoa EU utabadilisha taratibu za biashara pia. Jaribu kufuatilia na ubalozi wa UK nchini. Vile vile ukiwasiliana na ubalozi wa Tanzania uliopo London, hizi ni taarifa ambazo wanapaswa kukupa pia.
Kila la kheri
Nilijaribu kipindi fulani kufuatilia na nikakuta makampuni mengi ya exports ni ya wahindi na wachina. Wenzetu wanajua sana kuhonga kwa hawa maafisa wa taasisi na mamlaka za Tanzania na ndio maana ni rahisi kupata connection.Mkuu,
Kuna mambo mengi ya kuendelea kujiuliza na kufanya utafiti wa kutosha.
Mfano: Kuna kampuni/jamaa wanakuja nchini kutokea nje ya nchi na sanasana ni Wahindi, wanaweka kambi humu nchini na hasa mashambani huko, wananunua mazao kama Ufuta, Choroko, Mbaazi, Dengu na mazao mengine ya jamii ya Mikundekunde, wanapopeleka huwa hatupajui na hakuna anayejishughulisha kujua huwa wanayapeleka wapi, kwa kifupi hapa namaanisha MASOKO.
Kama bidhaa hizi zipo hapa nchini kwetu kwanini sisi tunaishia tu kuwauzia hawa wanaotulangua, ina maana sisi hatuwezi kupeleka huko wanapopeleka wao.
Hebu tufunguke vijana. Na kwa sasa nina imani na serikali tulonayo.
Market ipo. Sembe inatumika kwenye mapichi mengi sana..... Sema tu Tanzania tunajua ni ya kusongea ugali na uji tu.Mimi sidhani kama kuna market ya unga wa sembe England,wazungu hawatumii hii kitu- South Africa wanapeleka sembe uk,trade name Iwisa,Azam nae anapeleka lakini naona ni quantity ndogo sana
Ni kweli..... Soko lipo.... Hata kama sio tani nyingi sana ila soko la kupata kiasi fulani lipo.Lakini mleta mada kasema kuna kaka yake huko ndo aliyemwambia kuwa demand ni kubwa mahali alipo.
Unaweza kunitumia sasaNicheki PM kuna mahal nimekwama noamba ufungue pm nikuulize kitu
Watu hawafanyi tafiti ndugu yangu, halafu wanazungumza negatively, pia hiyo dhana ya kuona sembe ni wa kupikia ugali tu au uji ni namna watu walivyo na mazoea tu, ila ni nafaka inayotumika sana na sio kwa uji tu au ugaliMarket ipo. Sembe inatumika kwenye mapichi mengi sana..... Sema tu Tanzania tunajua ni ya kusongea ugali na uji tu.
But ina matumizi mengi sana. Ngano pia.....