Soma kitabu cha TCU vizuri,ukielewe.Wastani wa chini wa kudahiliwa ngazi ya bachelor degree kwa kidato cha sita kufahuru masomo mawili kwa kupata D mbili zinzazo kupa point 4.Msingi wake ni kufahuru masomo kuanzia mawili.Ukipata mfano A,E ambayo ni point 6,bado huna sifa ya ku join bachelor degree kwa ninavyo elewa.Wanataka principal pass katika masomo mawili ukiondoa GS na somo la dini.principal pass inaanzia D,C,B,A.