Olsea
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 452
- 250
Habari wakuu,
Fundi alinifungia Dish la Azam nikawa napata Channels kama kawaida tatizo likawa ukiwa unaangalia Channels za HD inatokea kama Scratches hivi mara kwa mara ingawa picha inakuwa haigandi, nikamleta Fundi mwingine akasema inafanya hivyo kwa sababu Fundi aliweka Eutelsat 7B inatakiwa iwe 7C basi akaweka hivyo ila naona tatizo limeongezeka hadi Channels nyingne zna scratch hadi kero, wazoefu shida itakuwa nini? Maana Mafundi wa Mikoani huku wanabahatisha.
Fundi alinifungia Dish la Azam nikawa napata Channels kama kawaida tatizo likawa ukiwa unaangalia Channels za HD inatokea kama Scratches hivi mara kwa mara ingawa picha inakuwa haigandi, nikamleta Fundi mwingine akasema inafanya hivyo kwa sababu Fundi aliweka Eutelsat 7B inatakiwa iwe 7C basi akaweka hivyo ila naona tatizo limeongezeka hadi Channels nyingne zna scratch hadi kero, wazoefu shida itakuwa nini? Maana Mafundi wa Mikoani huku wanabahatisha.