ziloi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 758
- 1,063
Ndugu zangu nakuja dodoma kwa kipindi cha miezi 3. Nahitaji chumba angalau nipunguze gharama za maisha.
Budget yangu ni laki moja (100k) kwa mwez.
Sifa za chumba nachohitaji
- Choo cha ndani.
- Fensi au Nyumba yenye usalama.
- Mwonekano muzuri wa chumba na kiwe kikubwa.
- Area C itapendeza zaidi, japo na maeneo mengine si mbaya kama nitaridhia.
Ni PM namba zako nitakutafuta mimi mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Budget yangu ni laki moja (100k) kwa mwez.
Sifa za chumba nachohitaji
- Choo cha ndani.
- Fensi au Nyumba yenye usalama.
- Mwonekano muzuri wa chumba na kiwe kikubwa.
- Area C itapendeza zaidi, japo na maeneo mengine si mbaya kama nitaridhia.
Ni PM namba zako nitakutafuta mimi mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app