House4Rent Msaada ( dalali dodoma)

ziloi

JF-Expert Member
Apr 15, 2018
758
1,063
Ndugu zangu nakuja dodoma kwa kipindi cha miezi 3. Nahitaji chumba angalau nipunguze gharama za maisha.
Budget yangu ni laki moja (100k) kwa mwez.

Sifa za chumba nachohitaji

- Choo cha ndani.

- Fensi au Nyumba yenye usalama.

- Mwonekano muzuri wa chumba na kiwe kikubwa.

- Area C itapendeza zaidi, japo na maeneo mengine si mbaya kama nitaridhia.

Ni PM namba zako nitakutafuta mimi mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu nakuja dodoma kwa kipindi cha miezi 3. Nahitaji chumba angalau nipunguze gharama za maisha.
Budget yangu ni laki moja (100k) kwa mwez.

Sifa za chumba nachohitaji

- Choo cha ndani.

- Fensi au Nyumba yenye usalama.

- Mwonekano muzuri wa chumba na kiwe kikubwa.

- Area C itapendeza zaidi, japo na maeneo mengine si mbaya kama nitaridhia.

Ni PM namba zako nitakutafuta mimi mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo ya nkuhungu (karibu na four ways) vipi mkuu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom