Jambo wakuu!
Nina shida ya ghafla na mfanyakazi wa ndani (house girl). Kwa yeyote anayefahamu mahali/namna naweza kumpata msichana huyo hapa Dar naomba aniPM. Kituo cha kazi ni Wilaya ya Temeke, Kata ya Mtoni Kijichi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wenu.