stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,832
- 22,940
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina kijana wangu anataka kusoma hiyo kozi chuo kikuu,sasa sio mjuzi sana kwenye maswala ya vyuo vikuu vinavyofundisha vizuri,maadili na hata huduma nzuri kama za hostels n.k.Mwenye ufahamu naomba anipe muongozo...