Msaada Chuo kizuri kusoma BBA hapa Tanzania

stephot

JF-Expert Member
Mar 1, 2012
15,832
22,940
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina kijana wangu anataka kusoma hiyo kozi chuo kikuu,sasa sio mjuzi sana kwenye maswala ya vyuo vikuu vinavyofundisha vizuri,maadili na hata huduma nzuri kama za hostels n.k.Mwenye ufahamu naomba anipe muongozo...
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina kijana wangu anataka kusoma hiyo kozi chuo kikuu,sasa sio mjuzi sana kwenye maswala ya vyuo vikuu vinavyofundisha vizuri,maadili na hata huduma nzuri kama za hostels n.k.Mwenye ufahamu naomba anipe muongozo...
Elimu ya bongo ni ile ile vyuo vyote..hakuna jipya zaidi ya majengo tu..na walimu ni wale wale waliofundishwa na mfumo ule ule toka ukoloni..na materials ya kusomea ni yale yale...fanya ujaribu nchi za ulaya na marekani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina kijana wangu anataka kusoma hiyo kozi chuo kikuu,sasa sio mjuzi sana kwenye maswala ya vyuo vikuu vinavyofundisha vizuri,maadili na hata huduma nzuri kama za hostels n.k.Mwenye ufahamu naomba anipe muongozo...

Msaada Chuo kizuri kusoma BBA hapa Tanzania​

Ipo hivi mkuu BBA yani ina specialization yani kuna BBA in MARKETING, ACCOUNT AU HR

Sasa basi kwa ushauri wangu mimi naomba asome BBA general isiyo na specialization kwa sababu zifuatazo

BBA in MARKETING maana yake kashajifunga na hatoweza kudeal na mambo tofauti na hayo kama HR


BBA in ACCOUNT hii ni nzuri sana ila ina mbadala wake kama ifuatavyo mtu aliyemaliza ACCOUNTS hatambuliki na bodi ya wahasibu kama hajasajiliwa na bodi na kufanya ile mitihani ila faida yao ni kwamba wanafutiwa masomo yote ya level ya foundation ataanzia level ya pili ya intermediate na kumalizia final stage ambayo ni professional

kwanini nikasema ina mbadala mtu aliyesoma BBA ile general kwa kuwa kuna module za ACCOUNTS kuna masomo pia huwa wanafutiwa kabisa lakini kwa level ya foundation na yatabakia 3 mfano kama QM, BUSINESS LAW yote anafutiwa hivyo akikomaa vizuri atamalizana na foundation na kuendelea level inayofuata

BBA in HR nayo ni vile vile hamna wigo mpana zaidi ya hiyo

ila sasa BBA general kwa miaka 3 inameza kila kitu hapo kwa Ukubwa wake maana yake itameza HR,MARKETING na ACCOUNTS

Ndio maana nikasema BBA general ni course itakayomfaa kwa haraka haraka chuo wanachotoa hii course ni NIT japo naamnini kuna vyuo vingine

Tukirejea matangazo ya kazi mfano wakitaka HR wanasema kabisa walisoma HR,BBA, public administration
wakitoa tangazo la kazi la marketing Manager hutokuja kusikia wanasema wanahitaji mtu aliyesoma HR
Wakitafuta Accountant watasema BAF,ACCOUNTS NA BBA tena huyo wa BBA akiamua anaitafuta CPA anatulia zake maana yake anapata wigo mpana wa kukaa hizo sehemu zote 3
 

Msaada Chuo kizuri kusoma BBA hapa Tanzania​

Ipo hivi mkuu BBA yani ina specialization yani kuna BBA in MARKETING, ACCOUNT AU HR

Sasa basi kwa ushauri wangu mimi naomba asome BBA general isiyo na specialization kwa sababu zifuatazo

BBA in MARKETING maana yake kashajifunga na hatoweza kudeal na mambo tofauti na hayo kama HR


BBA in ACCOUNT hii ni nzuri sana ila ina mbadala wake kama ifuatavyo mtu aliyemaliza ACCOUNTS hatambuliki na bodi ya wahasibu kama hajasajiliwa na bodi na kufanya ile mitihani ila faida yao ni kwamba wanafutiwa masomo yote ya level ya foundation ataanzia level ya pili ya intermediate na kumalizia final stage ambayo ni professional

kwanini nikasema ina mbadala mtu aliyesoma BBA ile general kwa kuwa kuna module za ACCOUNTS kuna masomo pia huwa wanafutiwa kabisa lakini kwa level ya foundation na yatabakia 3 mfano kama QM, BUSINESS LAW yote anafutiwa hivyo akikomaa vizuri atamalizana na foundation na kuendelea level inayofuata

BBA in HR nayo ni vile vile hamna wigo mpana zaidi ya hiyo

ila sasa BBA general kwa miaka 3 inameza kila kitu hapo kwa Ukubwa wake maana yake itameza HR,MARKETING na ACCOUNTS

Ndio maana nikasema BBA general ni course itakayomfaa kwa haraka haraka chuo wanachotoa hii course ni NIT japo naamnini kuna vyuo vingine

Tukirejea matangazo ya kazi mfano wakitaka HR wanasema kabisa walisoma HR,BBA, public administration
wakitoa tangazo la kazi la marketing Manager hutokuja kusikia wanasema wanahitaji mtu aliyesoma HR
Wakitafuta Accountant watasema BAF,ACCOUNTS NA BBA tena huyo wa BBA akiamua anaitafuta CPA anatulia zake maana yake anapata wigo mpana wa kukaa hizo sehemu zote 3
Asante kwa ufafanuzi mkuu...
 
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina kijana wangu anataka kusoma hiyo kozi chuo kikuu,sasa sio mjuzi sana kwenye maswala ya vyuo vikuu vinavyofundisha vizuri,maadili na hata huduma nzuri kama za hostels n.k.Mwenye ufahamu naomba anipe muongozo...
1. Mzumbe (I recommend)

2. UDSM (Sidhani kama ipo pure BBA)

3. UDOM

4. Ushirika (sidhani kama bado wanayo).

NB: Aamgalie guide book ya TCU.

Pia, unless kama anataka kujiajiri ila akiwa flexible akasome uhasibu maana uhasibu naona uko na wigo mpana tofauti na BBA ILA KAMA NI HITAJI LAKE BASI NA AKASOME APENDACHO.
 
1. Mzumbe (I recommend)

2. UDSM (Sidhani kama ipo pure BBA)

3. UDOM

4. Ushirika (sidhani kama bado wanayo).

NB: Aamgalie guide book ya TCU.

Pia, unless kama anataka kujiajiri ila akiwa flexible akasome uhasibu maana uhasibu naona uko na wigo mpana tofauti na BBA ILA KAMA NI HITAJI LAKE BASI NA AKASOME APENDACHO.
Asante kwa ushauri mkuu...
 
Njoo College of Business education CBE chuo cha serikali nipigie kwa 0756936931
 
1. Mzumbe (I recommend)

2. UDSM (Sidhani kama ipo pure BBA)

3. UDOM

4. Ushirika (sidhani kama bado wanayo).

NB: Aamgalie guide book ya TCU.

Pia, unless kama anataka kujiajiri ila akiwa flexible akasome uhasibu maana uhasibu naona uko na wigo mpana tofauti na BBA ILA KAMA NI HITAJI LAKE BASI NA AKASOME APENDACHO.
Kaka, mtu wa HGK anaweza soma hii programme...!?
 
Back
Top Bottom