KasomaJr
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 368
- 144
Wana IT na computer Science, Please naombeni msaada, nataka kufanya database management-Oracle, ni chuo gani mnaweza kuni recommend hapa DAR? background yangu ni
1. Accounting (Undergraduate)
2. Finance (Postgraduate)
3. Project Management (Diploma)
Naomba contact kwa kila atakae nipa ushauri.
Asanteni sana.
Kumbuka:
Hii nataka kufanya si kwa sababu ya kutafuta Ajira, la hasha, bali ujasiliamali na mapenzi katika IT related stuff.
1. Accounting (Undergraduate)
2. Finance (Postgraduate)
3. Project Management (Diploma)
Naomba contact kwa kila atakae nipa ushauri.
Asanteni sana.
Kumbuka:
Hii nataka kufanya si kwa sababu ya kutafuta Ajira, la hasha, bali ujasiliamali na mapenzi katika IT related stuff.