Msaada Chapu chapu

Msaada Chapu chapu

A
1. Acha kupiga punyeto

2. Usikamie sana mechi wala kupaniki

3. Punguza mawazo wala msongo wa mawazo

4. Kula chakula cha kueleweka

5. Fanya mazoezi mepesi - jogging, kuruka kamba, push ups n.k

6. Kunywa maji mengi

7. Acha kuangalia porn...huua hisia taratibu na kuleta mkanganyiko.

Fanya/zingatia haya kwa angalau wiki moja hivi au mbili halafu itisha mechi tena.

Na sijui kama unajua kuwa unaweza kumfikisha mwanamke kileleni hata bila kumwingilia - kama yuko willing lakini...

8. Acha uzinzi
Asante mkuu
 
Ulikamia mechi na ukapaniki sababu ya hayo matako unayosema yanazidi ya mpenzi wako wa chuo
 
Fikiria masomo chuoni!acha ngono kijana....ukumbuke ukimaliza chuo hakunaa ajira
 
Vijana wa siku hz mbona mnasumbuliwa sna na matatizo haya jaman, mbona zamani hayajakuepo.

Hapa nawaza tu itakuaje ukioa mdogoangu, pole sna
 
Hukuweza kupiga hata goli la samaki.

Acha kuangalia porn man

Punguza kupiga punyeto maana kuacha hutoweza
 
Habari za humu , natanguliza
shukran zangu za dhati kwenu wana JF.

Kama kichwa cha habari hapo juu , Naombeni msaada , jana nilipata ajali kazini nikiwa na mtoto mzuri kitandani getoni kwangu.

Ni baada ya kukaa muda mrefu bila kuonja asali ya papuchi jana nilipata hio bahati ,lakini bahati mbaya Rungu likakataa kusimama tena likasinyaa kabsa muda wote takribani saa nzima .
Demu aliingia saa kumi na moja jioni lakini hadi saa kumi na mbili jioni issue bado imesinyaa na mtoto nimesha Mlegeza kila kona hadi akatoa chupi basi mm nikiwa bado na boxer mashine bado imesinyaa.

Badae kidogo demu akawa mkali gafla sikujua shida ilikua nini kwa nguvu akazamisha mkono wake kwenye boxer angu akakutana na upepo tu hapakua na nondo yoyote basi nikamwambia unataka nivue boxer usijali ,kidome nikajitutumua nikatoa boxer kuchek mashine imesinyaa visivyo kawaida .

Nilijaribu kila namna awapi vuta hisia hakna chochote basi demu akasema amebanwa mkojo akibidi avae chupi na nguo zake ili aende kukojoa nje

Kidume nikabaki nimekaa kitandani huku mawazo mengi kichwani , sielewi nini kilinikuta hio siku wakati nikiwa nimekaa Demu aliingia kutoka kukojoa akaja akakaa kwenye kiti mm nipo kitandani nikamwambia aje tulale akagoma na kuanza kudai aondoke basi nikambembeleza lakin bado alikataa nikiwa nimeshavaa boxer nilimfata nikamshika aka kataa akaanza kusogea mlangoni kutoka nje ,Demu alikua na tako kubwa baraa kuzidi hata la Demu wangu wa Chuo.

Basi akawa ameondoka nilimpigia sim hakupokea ,leo usiku nilimtext akijibu tu short cut nikamuuliza lini utakuja tunyanduane akadai hio kitu haitawezekana maana nilishindwa kusimamisha .nimejarib kumuelekeza lakini still nimeambulia ziro.

Hivo basi naomba msaada wa haraka kabla sijarudi chuo kwa demu wangu maana na yeye bado hatujanyanduana tuli ahidiana tutafanya tukifika mwaka wa tatu
Please naombeni msaada kwenye hili sijui shida ni nini ila asbui nikiwa naenda kukojoa mashine hua ipo nondo hadi hutaka kupasua boxer

Please msaada maana tarehe 30 mwez huu naenda kukutana na mwanachuo wangu.

Asanteni
bila picha ni hadithi za kufikirika
 
1. Acha kupiga punyeto

2. Usikamie sana mechi wala kupaniki

3. Punguza mawazo wala msongo wa mawazo

4. Kula chakula cha kueleweka

5. Fanya mazoezi mepesi - jogging, kuruka kamba, push ups n.k

6. Kunywa maji mengi

7. Acha kuangalia porn...huua hisia taratibu na kuleta mkanganyiko.

Fanya/zingatia haya kwa angalau wiki moja hivi au mbili halafu itisha mechi tena.

Na sijui kama unajua kuwa unaweza kumfikisha mwanamke kileleni hata bila kumwingilia - kama yuko willing lakini...

8. Acha uzinzi
Hiyo namba moja haiwezi kuwa sababu
 
Back
Top Bottom