Msaada: Changamoto ya kusimamisha uume asubuhi

Msaada: Changamoto ya kusimamisha uume asubuhi

no way out unabid upambane nalo utafanyaje
Hakika, wewe tumia dawa zote za mitishanba na za hospitali pia. Nimepitia baadhi ya nyuzi zako nimeona pia una upungufu wa hormone ya testerone. Pambana upate tiba ya hili tatizo, likiisha utakuwa fresh kabisa
 
Hakika, wewe tumia dawa zote za mitishanba na za hospitali pia. Nimepitia baadhi ya nyuzi zako nimeona pia unaupungufu wa hormone ya Testesterone. Pambana upate tiba ya hili tatizo, likiisha utakuwa fresh kabisa
ila mepima testerone level zangu 3days ago ploraction iko 21.3ng/ml ,testesterone 7.5 miu/ml ,LH-5.5miu/ml FSH-8.5miu/ml. lakini nilipima jioni manakw wanashauri upime asubuh japo nilikua niko in temper nkaaamua kupima jioni i dont know ziko OK sijajua twitter madaktari japo naona ploractin iko juu sijajua manake normal range ni 2-18
 
Mm Nina changamoto uume wangu ukisimama mishipa ya kichwa Cha uume wangu unaumwa mbaya maana mishipa Ina kaka maaa daah cielewiiii
 
Dawa hii tumia ndani ya wiki 3 kisha utupe mrejesho.

Dawa ya 1- tangawizi na kitunguu swaumu punje8, chukua tangawizi moja na punje nane au zaidi za kitunguu swaumu, kisha zitwange katika chombo mpaka vilainike.

weka maji kiasi Kama glasi 3 hakikisha iwe kali,chemsha utakuwa unakunywa kutwa mara3, glass moja.

Ikiisha tengeneza Tena, usifanye tendo la ndoa ndani ya muda wa dawa.acha kutazama x, usipige nyeto.

Nitatoa dawa nyingine MAJIYAPWANI, MAJIYAPWANI,
 
Dawa hii tumia ndani ya wiki 3 kisha utupe mrejesho.

Dawa ya 1- tangawizi na kitunguu swaumu punje8, chukua tangawizi moja na punje nane au zaidi za kitunguu swaumu, kisha zitwange katika chombo mpaka vilainike.

weka maji kiasi Kama glasi 3 hakikisha iwe kali,chemsha utakuwa unakunywa kutwa mara3, glass moja.

Ikiisha tengeneza Tena, usifanye tendo la ndoa ndani ya muda wa dawa.acha kutazama x, usipige nyeto.

Nitatoa dawa nyingine MAJIYAPWANI, MAJIYAPWANI,
cpigi nyeto wala kuangalia Xxxx mie mtu kizagamua tu X nshapita huko.
 
Back
Top Bottom