richard.nzemya
Member
- Apr 18, 2012
- 14
- 0
Naomba msaada simu yangu ilidondoka kioo kikapata crack
Nikabadilisha kwa kuweka kipya ila camera imegoma
Kabla ya kubadili kile kilichokua na mpasuko kilikua kinapiga kazi fresh tu na baada ya kurudishia kile cha awali bado camera haifanyi kaz
Msaada kwa hilo wadau
Nikabadilisha kwa kuweka kipya ila camera imegoma
Kabla ya kubadili kile kilichokua na mpasuko kilikua kinapiga kazi fresh tu na baada ya kurudishia kile cha awali bado camera haifanyi kaz
Msaada kwa hilo wadau