Msaada: Cadet zisizo chupa

Msaada: Cadet zisizo chupa

Inkotanyi 94

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,244
Reaction score
4,030
Kwa gentlemen wa Dar, napata wap cadet za pamba hazikubana chini? Walau chini iwe 21" naona kizazi kipya kinatutoa sokon tusiopenda fashion za chupa na mlegezo
 
Kwa gentlemen wa Dar, napata wap cadet za pamba hazikubana chini? Walau chini iwe 21" naona kizazi kipya kinatutoa sokon tusiopenda fashion za chupa na mlegezo
Kupata hizo inatakiwa labda za mitumba,vinginevyo vaa tu mlegezo na suruali yako ya kubana chini,hiyo ndio habari ya mujini sasa hivi...
 
Kwa gentlemen wa Dar, napata wap cadet za pamba hazikubana chini? Walau chini iwe 21" naona kizazi kipya kinatutoa sokon tusiopenda fashion za chupa na mlegezo
Mimi nanunua za mtumba alafu naenda kuounguza kwa fundi
 
Kwa gentlemen wa Dar, napata wap cadet za pamba hazikubana chini? Walau chini iwe 21" naona kizazi kipya kinatutoa sokon tusiopenda fashion za chupa na mlegezo


Ndugu yangu kizazi kipya kimebadili mawazo ya manufacturers kwa kweli, pengine wao ndo wengi. Suruali ziko kama tubes, hazifai...
 
21 chini, hiyo sio kadet tena ni zile za pepe kalle.

images.jpeg
 
Ndugu yangu kizazi kipya kimebadili mawazo ya manufacturers kwa kweli, pengine wao ndo wengi. Suruali ziko kama tubes, hazifai...
yan hata sielewi. uzur wa mitindo huwa inajirudia. ipo siku watarud huku kwetu zilizonyooka chini. mbaya zaid hizi modo zinalazimisha mlegezo. hata kuwalaum wanaume wanaovaa boxer na mstari wa matako ukawa nje unashindwa kuwalaum. kuna wateja tumebaguliwa!
 
Back
Top Bottom