Msaada:BUILDING ECONOMICS

Jamani hii course inalipa? Na pia inatolewa ARDHI PEKEE?

kijana, usiangalie kwamba course flani inalipa ama la, angalia moyo wako unataka na unapenda nini,, ukishajua, then kifanyie kazi uwe mtaalam mzuri katika hicho ukipendacho, then, utaweza kuperform na hence success will chase u itself,,, wala usidharau kwamba course flani hailipi ama inalipa ndugu yangu,,, wengi wanadharau baadhi ya course e.g ualimi labda, but i know more than 4 teachers marafiki zangu, big millionairs!!,,, me-engineer nao kipindi flani wakawa wanadharaulika sana, cjui mishahara midogo, cjui nini!! Lakini angalia leo hii, maengineer successsful wapo wengi sana,, soo al in all follow ur heart, EVERYTHING pays!!!
 
kijana, usiangalie kwamba course flani inalipa ama la, angalia moyo wako unataka na unapenda nini,, ukishajua, then kifanyie kazi uwe mtaalam mzuri katika hicho ukipendacho, then, utaweza kuperform na hence success will chase u itself,,, wala usidharau kwamba course flani hailipi ama inalipa ndugu yangu,,, wengi wanadharau baadhi ya course e.g ualimi labda, but i know more than 4 teachers marafiki zangu, big millionairs!!,,, me-engineer nao kipindi flani wakawa wanadharaulika sana, cjui mishahara midogo, cjui nini!! Lakini angalia leo hii, maengineer successsful wapo wengi sana,, soo al in all follow ur heart, EVERYTHING pays!!!

ahsante kaka kwa ushauri but Nauliza hvi coz napenda kuxoma economics lkn nimecikia faculty zipo nyng katika secta hyo xaxa lazima nifanye best Choice nisije nikaingia CHAKA!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom