Kuna isshu kubwa kwenye online purchase kwa kutumia crdbHabarini ni zaidi ya wiki mbili sasa kuna kiasi kimekuwa blocked katika akaunti yangu hivyo kushindwa kufanya transaction mpya baada ya kuwasiliana na customer care wa CRDB naambiwa sababu ni baadhi ya online purchases transactions nilizofanyaga hazikuwa cleared hivyo kuna file kutoka visa wanalisubili hili wakate hizo transactions .sasa ni wiki ya pili nasumbuana nao lakin tatizo liko palepale.naomba wazoefu wa hizi online purchases au walowahi experience issue kama hii wanifahamishe solution ya hili swala.ahsanteni
Habarini ni zaidi ya wiki mbili sasa kuna kiasi kimekuwa blocked katika akaunti yangu hivyo kushindwa kufanya transaction mpya baada ya kuwasiliana na customer care wa CRDB naambiwa sababu ni baadhi ya online purchases transactions nilizofanyaga hazikuwa cleared hivyo kuna file kutoka visa wanalisubili hili wakate hizo transactions .sasa ni wiki ya pili nasumbuana nao lakin tatizo liko palepale.naomba wazoefu wa hizi online purchases au walowahi experience issue kama hii wanifahamishe solution ya hili swala.ahsanteni
Niliwahi fanya miamala ya dola mia huku crdb ikakata sh 100[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwenda kucheki stament hamna kituCRDB wazushi sana na online payment, au hata kutolea hela nje ya nchi!
Unaweza fanya muamala leo, ukakamilika after 1/2 week(s) basi shiida tupu! Na rate zao siku hizi zimekuwa za kiwiziwizi tu!
Ukifanya Transaction kwa 100 USD SMS inayorudi ni Sh 100 ila hela wataikata tu hiyo 100* Transaction rate(e.g 2200TZS)Niliwahi fanya miamala ya dola mia huku crdb ikakata sh 100[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwenda kucheki stament hamna kitu
UShauri tu, muinable internet banking! very easy and cheap money tranfer! LAstly kuangalia bank statement ni free! Inansave kinoma kufanya miamala yangu
Internet Banking ya CRDB au?UShauri tu, muinable internet banking! very easy and cheap money tranfer! LAstly kuangalia bank statement ni free! Inansave kinoma kufanya miamala yangu
Mi hawakukata kituUkifanya Transaction kwa 100 USD SMS inayorudi ni Sh 100 ila hela wataikata tu hiyo 100* Transaction rate(e.g 2200TZS)
Mi hawakukata kitu
Una bahati sana ,Nilifanya online transction ,mara ya kwanza ilifail nikafanya mara ya pili nikafanikiwa ila blocked amount ilikaa week mbili na nikakatwa mara mbili laki 2 na elf 40 mara mbili hadi leo nilijitahidi kufatiliaHizo Blocked zimenikuta Nyingi sana
Mara Nyingi ilikua ikinitokea nkijaribu kufanya transaction haiwi Successful wakati hela nimeweka
Kinachokuja kutokea ni kwamba ile attempt ya kwanza kumbe wali Block hela na wakisha Block tu bank statement inasoma hizo hela zimekatwa lakini ile bank statement ya department ya Online purchase inakua inaonesha Blocked.
Solution:
Nilienda pale Azikiwe Branch nkawambia huo muhamala haukufanyika inakua je hela imekatwa nkaomba kuongea na wale wanaohusika na department ya Mastercard na Purchases waka print Statement yao na kweli hela ilikua haijawa haijakatwa wakanambia kufikia mwisho wa masaa ya kazi hela ntakua nimerudishiwa.
Kwako wewe kama wamekwambia wanasubiri file kutoka Visa na walo kwambia sio wale customer care basi inakubidi uwe mpole kutakua na shida!
Ila kama umeambiwa na wale custome care hata kama wamepiga simu kule juu wee omba kuonana nao mwenyewe wako peace wanakutatulia shida yako.
Yaani hiyo ya kukata mara mbili ndo kimeo zaidi I see!Una bahati sana ,Nilifanya online transction ,mara ya kwanza ilifail nikafanya mara ya pili nikafanikiwa ila blocked amount ilikaa week mbili na nikakatwa mara mbili laki 2 na elf 40 mara mbili hadi leo nilijitahidi kufatilia
Internet Banking ya CRDB au?
Kama ni mwajiri unaweza ukawa unatumia hii internet banking kulipa wafanayakazi wako.
Elezea zaidi kuhusu Internet banking huwa naifikilia hii ila kuna mtu akanambia wana charge 10,000/= everytime uki check bank statement
Yaani inshort how is it cheap?
Hamieni Bank ABC. Kwa 15,000 unapata card ya visa siku hiyo hiyoHizo online transactions CRDB wanasumbua sana. Muda mwingine wanazuia pesa isiyohusika muamala ukifanikiwa. Inabidi ufatilie wakupe bank statement pesa iliyozuiliwa inaonekana au uangalie Internet banking kama umejiunga ina kuenda tawi husika ili wakurudishie...