msaada blackberry inanitoa ushamba

msaada blackberry inanitoa ushamba

saimon111

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
1,736
Reaction score
1,359
jaman habari zenu wanajamvii

mie natatizo hapa, nimenunua blackberry storm verzon, kila kitu inafanya kazi vizuri kasoro internet.....nikitaka kuingia kwenye internet inaleta message inase
" your device does not currently have any brower configuration service book entries. please contact your service provider to enable the brower on your device."
sasa nilienda voda-mlimani city jumamosi iliyopita kuna bwana mmoja mfupi (sorry), ndio anahusika na internet, akasema itakua locked coz kuna alama ameiona kwenye screen, lakini kwa mimi ninavyojua ile alama ni ya gps......sasa naombeni msaada wenu kama hili ni tatizo kama walivyosema voda au raha !!!

na kama ni tatizo nawezaje kulitatua kama itawezekana
 
Hahahaaa...!! Duuh yani hata mhudumu wa Voda naye haelewi??? Basi bana hapo dawa ni kuilipia BIS tuu then service book itajijaza yenyewe
 
mkuu sio alama ya kwenye screen ni alama ya verizon mbele ya simu yupo right kabisa jamaa wa watu. Alama yenyewe ipo kama hv
pj60pcuk5x51ulz0h7ft.png


ipo locked na huo mtandao
 
shukrani sana Chief-mkwawa, hiyo alama ya verzon huwa inatokea once kwenye screen ikiwa inawaka but hicho kialama anachosemea jamaa dbb-icon-bb.jpg angalia kwenye hiyo picha hicho kialama ndio kinachotokea.....by the way simu ikiwa locked naweza kupiga simu na kutuma texts
 
Inategemea, kuna simu ukiziunlock uswahilini unakosa services zingine zikiwemo Internet, kwa issue yako inawezekana kabisa browser ipo tiedup with Verizon wireless network kwa hiyo unapotaka ku-access internet service inajaribu kuongea na VZ lakini inashindwa. Nilikuwa na tatizo kama hiyo wakati Fulani na simu ya AT&T, bahati mzuri ilikuwa inarun kwenye Google android na wanaoffer zaidi ya browser moja. mpaka leo siwezi kutumia browser yenye nembo ya AT&T.
 
Back
Top Bottom