MSAADA KWA INTERNET ON BLACKBERRY via TIGO!

sajo

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
2,992
5,210
Wadau wa Science on JF,naomba kwa anaeweza anisaidie hili,Nina simu ya BlackBerry,sasa tatizo lake ni kua nikijiunga na bundle ya internet zile service books haziingii katika simu after kuregister,nimejaribu kucheki mtandaoni humu na kwingine nikaona nimepata ufumbuzi(simu yangu ni storm 9530 ya Verizon)..sasa nimeshafanya vyote nilivyotaka ila kilichobaki ni ku-load manually hizo TIGO service books into my phone..nimeshindwa as nilipo sina mtu naemfahamu mwenye blackberry ya TIGO,so naomba kwa anaetumia TIGO BB with bundle(data plan) ya Blackberry internet services,anisaidie kuziback up hizo service books toka kwenye simu yake then anitumie mimi..Inafanyikaje?
kama una BB Desktop Manager,connect BB yako(yoyote ile) on computer then open Desktop manager then nenda kwenye Back Up then chagua selected data ili usifanye back up ya data zote then mark service books halafu u-back up hizo books,ukimaliza nenda huko ulikoback up(normally ni my documents/Blackberry) then utalikuta hilo file with extension ya .IPD ...cha kufanya ni rename it to Tigo Service books.ipd then licompress to zip folder then Ni PM au tuma thru mwakasege@gmail.com utakua umenisaidia sana..naomba kwa anaeweza na alie tayari anisaidie hizo books,nitashukuru.
 
Mkuu mimi second phone yangu ni BB 9630 ya kampun ya Alltel! Nlivoinunua nlidhani itafaa BIS kawaida nkajiunga na bundle ya voda ya wiki lakini wapi..ikawa kama ww hivohvo! Juz kati nkaweka line ya mtu ya tigo yenye BIS ikaregister na nkapata service books zote ikapiga mzigo kama kawa. Nkajiunga na line yangu ikafaa!! After a two days of using nkachange line nkaweka ya zain,kuja kurudisha ya tigo BIS haifanyi tena kazi!! So I think there's a problem wth these phones! Ila cjaenda tigo! Na kuhusu mtu kukutumia service books haiwezekan coz zipo unique kwa kila device,zangu hazitafanya kazi kwako and vise versa. Labda uende tigo mkuu. Na ukifanikiwa ulete feedback na mm niende huko!!
 
Ila hizo za verizon huwa zinasumbua sana kujiunga na BBm yaani ingekuwa hujanunua nisingekushauri ununue ya verizon!!!
 
Mkuu mimi second phone yangu ni BB 9630 ya kampun ya Alltel! Nlivoinunua nlidhani itafaa BIS kawaida nkajiunga na bundle ya voda ya wiki lakini wapi..ikawa kama ww hivohvo! Juz kati nkaweka line ya mtu ya tigo yenye BIS ikaregister na nkapata service books zote ikapiga mzigo kama kawa. Nkajiunga na line yangu ikafaa!! After a two days of using nkachange line nkaweka ya zain,kuja kurudisha ya tigo BIS haifanyi tena kazi!! So I think there's a problem wth these phones! Ila cjaenda tigo! Na kuhusu mtu kukutumia service books haiwezekan coz zipo unique kwa kila device,zangu hazitafanya kazi kwako and vise versa. Labda uende tigo mkuu. Na ukifanikiwa ulete feedback na mm niende huko!!

Man service books ni kama vocha ilivyo,sio unique that's why inakubali on any phone..wewe nitumie kama unazo,ikiwork kwangu ntakuelekeza technic nliyotumia,tigo ukienda watakukera tu watakuambia simu yako ipo locked
 
Verizon wanatumia CDMA teknoloj wkt mitandao mingine mingi ni ya GSM,so books wakizipush zinagoma kuingia automatically which makes them to be loaded manually na kuedit TCP simu itafanya kaz poa..so yoyote mwenye service books za tigo naomba anitumie
 
Mkuu mitandao mingi inatumia GSM?
Verizon wanatumia CDMA teknoloj wkt mitandao mingine mingi ni ya GSM,so books wakizipush zinagoma kuingia automatically which makes them to be loaded manually na kuedit TCP simu itafanya kaz poa..so yoyote mwenye service books za tigo naomba anitumie
 
Mkuu mitandao mingi inatumia GSM?

Yeah,mitandao mingi ya simu ni GSM kwamba unatumia line za kawaida,Tanzania TTCL mobile ndo pekee wanatumia CDMA na zantel kwa upande wa modem iliyobak yote ni GSM,hata kwa USA na kwingineko GSM inatumika sana kuliko CDMA
 
Hakuna mwenye hizo service books anitumie?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom