Mkuu hao wanaokushairi kupanda Fastjet hawana hoja na wanataka kukuongezea gharama zisizo na ulazima,kuna usafiri wa ardhini ni nafuu na unaokoa muda kuliko hiyo FastJet,kamata zile Hiace zinazopeleka Magazeti Moshi na Arusha ni nafuu,comfortable na zinajali muda sana.