chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Habari wandugu.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka naomba msaada kwa anayefahamu mabasi mazuri na yanayowahi kufika Kilimanjaro kwa uharaka kwani kuna shughuli nataka kuwahi majira ya saa 9 alasiri.
Gari litakaloweza kufika Kilimanjaro majira ya saa 8-9 alasiri litanifaa sana.
Wale wazoefu wa route hii nasubiria ushauri wenu ili kesho niwahi Ubungo kukata tiketi.
Natanguliza shukrani.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka naomba msaada kwa anayefahamu mabasi mazuri na yanayowahi kufika Kilimanjaro kwa uharaka kwani kuna shughuli nataka kuwahi majira ya saa 9 alasiri.
Gari litakaloweza kufika Kilimanjaro majira ya saa 8-9 alasiri litanifaa sana.
Wale wazoefu wa route hii nasubiria ushauri wenu ili kesho niwahi Ubungo kukata tiketi.
Natanguliza shukrani.