Msaada: Bachelor of information technology 'IT'

Msaada: Bachelor of information technology 'IT'

Kwamfano ukajiajili unakuwa unajishugulisha na nn zaidi
Naomba nieleweshe apo
Mkuu ndio maana unaambiwa unatakiwa kupekecha kichwa vizuri, kwa mfano kwenye IT kuna computer graphics, hapo jiulize kama una ujuzi huo kwa nini usitengeneze katuni za kiswahili na ukaanza kuziuza kwa ajili ya watoto kibongo na nakuhakikishia wateja hutokosa, unaweza kuona kama wazo la kijinga lakini huo ndo uhalisia, tatizo ni kwamba tunaposoma tunakuwa tunafikilia mambo makubwa na malengo yasiyo na uhalisia.
 
Ahsante sana mkuu, vp wanafundisha vzr
wanafundisha vizuri, ila hili swala la kufundishwa vizuri kiukweli na juhudi zako ndicho kinachohitajika sana kuliko hata lecturer, soma sana vitabu na unapaswa uwe flexible sana mambo ya teknolojia huwa yanabadilika kwa hiyo unajikuta unatakiwa uwe tayari kujifunza kitu kipya kila mara kama unataka kuwa competence.
 
wanafundisha vizuri, ila hili swala la kufundishwa vizuri kiukweli na juhudi zako ndicho kinachohitajika sana kuliko hata lecturer, soma sana vitabu na unapaswa uwe flexible sana mambo ya teknolojia huwa yanabadilika kwa hiyo unajikuta unatakiwa uwe tayari kujifunza kitu kipya kila mara kama unataka kuwa competence.
Ahsante sana mkuu
 
wanafundisha vizuri, ila hili swala la kufundishwa vizuri kiukweli na juhudi zako ndicho kinachohitajika sana kuliko hata lecturer, soma sana vitabu na unapaswa uwe flexible sana mambo ya teknolojia huwa yanabadilika kwa hiyo unajikuta unatakiwa uwe tayari kujifunza kitu kipya kila mara kama unataka kuwa competence.
Competent
 
IT inahusisha vitu vingi, baadhi ya hivyo ni.

Artificial intelligence

Computer Programming

Networking designing and Administration

web server management and website designing

Computer maintenance

System analysis and design

computer graphics,

Database implementation and management

na vingine vingi ambavyo chuo hamfundishwi kwa hiyo ni wewe kujiongeza, sasa kama ni kujiajili hapo ni akili yako na jinsi gani unaweza tumia hayo maarifa ku-earn pesa, mfano unaweza ukawa ni software ama website developer na hapa unahitaji kufanya kitu kinachoweza mvutia mtu kufanya kazi na wewe, matumizi ya simu sasa ni makubwa hapo inabidi ujifunze hata app developing na ku-repair simu na kompyuta, kiufupi mr ni kuumiza kichwa, hivyo ni vichache ambazo unaweza kujiajiri mwenyewe.
I thank a lot mh. Nimekupata mkuu
 
Utaajiriwa popote wanapotumia compyuta na mawasiliano ya kielektroniki. Jaribu kufanya kitu ambacho unapenda na una uwezo nacho na pia unahisi kwamba unaweza kuonyesha utofauti na walio wengi. Usisome tu kisa kozi flani inalipa. Hata unesi na udaktari unalipa vile vile ila je unaweza kumhudumia mgonjwa wa ebola hata ukipewa mask?
ure right mkuu
 
Back
Top Bottom