cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,665
- 78,147
Ulimwengu wa ICT ni mpana na upo supa
Unapenda yaliyomo katika kozi hiyo au bado hujasoma kabisa kufahamu?
Unapenda yaliyomo katika kozi hiyo au bado hujasoma kabisa kufahamu?
Ahsante sana mkuuajira za kuajiriwa upande wa IT ni chache sana na ngumu kupata, japokuwa ina fursa nyingi kama ukipekecha kichwa vizuri hela ya kula hukosi, kikubwa kama unasoma hiyo kozi malengo yako makubwa yabase kwenye kujiajiri kuliko kuajiriwa, ila kama unataka kuajiriwa kwa haraka basi soma kozi za afya, IT haifai.
Kwa wale ambao ni walemavu wa kifikra kwamba ni lazima uajiriwe IT haifai. Ila kwa wale ambao wamefunguka bongo zao, It ndo kila kitu kwani unaweza kujiajiri au ukapata mafanikio makubwa sana.Ahsante sana mkuu
certificate, anaweza kusoma nadhani UCC kinafaa.Wakuu nina mdogo wangu kapata four ya 26 ana eng_c kiswahili_c geog D History D B/M_D bios_D na civics D je anaweza kasoma diploma ya IT? Na ni chuo gani hapa dar ni kizuri kwa IT anachoweza kupata kulingana na marks zake?
Kwamfano ukajiajili unakuwa unajishugulisha na nn zaidiKwa wale ambao ni walemavu wa kifikra kwamba ni lazima uajiriwe IT haifai. Ila kwa wale ambao wamefunguka bongo zao, It ndo kila kitu kwani unaweza kujiajiri au ukapata mafanikio makubwa sana.
Kunigiza nyimbo kwenye flash na kuelekeza washamba kujiunga Fb na kudownload Watsap 😀😀Waiting answers
Nn point yako?Kunigiza nyimbo kwenye flash na kuelekeza washamba kujiunga Fb na kudownload Watsap 😀😀
IT inahusisha vitu vingi, baadhi ya hivyo ni.Kwamfano ukajiajili unakuwa unajishugulisha na nn zaidi
Naomba nieleweshe apo
Kipo sehem gani hicho chuocertificate, anaweza kusoma nadhani UCC kinafaa.
Ahsante sana mkuu, chuo kipi wanaweza kua wanafundisha effectively diploma ya ITKipo sehem gani hicho chuo
UCC Posta Mpya - Jengo la CRDBKipo sehem gani hicho chuo
Ahsante sana mkuu, chuo kipi wanaweza kua wanafundisha effectively diploma ya IT
University of Dar-Es-Salaam Computing center(UCC) kipo mtaa wa azikiwe kwa dar, pitia hiyo website kwa maelezo zaidiKipo sehem gani hicho chuo
Hakuna vingene unavyo vijua wanapofundisha vzr dipUCC Posta Mpya - Jengo la CRDB
UCC UDSM
UCC Dodoma
UCC Arusha
n.k
Ahsante sana mkuu, vp wanafundisha vzrUniversity of Dar-Es-Salaam Computing center(UCC) kipo mtaa wa azikiwe kwa dar, pitia hiyo website kwa maelezo zaidi
University of Dar es salaam Computing Center
Duh kwa hio id yako nahisi kuna mtu ujumbe ameupataajira za kuajiriwa upande wa IT ni chache sana na ngumu kupata, japokuwa ina fursa nyingi kama ukipekecha kichwa vizuri hela ya kula hukosi, kikubwa kama unasoma hiyo kozi malengo yako makubwa yabase kwenye kujiajiri kuliko kuajiriwa, ila kama unataka kuajiriwa kwa haraka basi soma kozi za afya, IT haifai.