God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
...........
Habari wa wakati huu wakuu. samahanini naomben ushauri nimetoka jukwaa la elimu nikaja huku kwa sababu mambo ya teknolojia yanahusu sana.
mimi nimechaguliwa hiyo course kwa level ya bachelor degree chuo cha rucu/ruco iringa. napenda sana mambo ya computer japo wazaz wanagomba na mimi nikasome MEDICAL DOCTOR na mimi sijafanya vizur kwan inaushindani sana hata vyuo vya private ni ngumu mno. bas wanataka nikasome diploma ya clinical officer tuu. mimi naona ngumu mno pia uri unaenda na uwezo wetu ni kidogo. kuna wadogo zangu wanakuja huko nyuma nawaonea huruma wasiteseke coz mimi nilikua huko na ni wa kike.
najua pesa zipo na mungu ndie anatoa nili apply na kupata hii coz. kinacho niumiza akili ni swala la ajira.
jaman wakubwa zangu na ndugu zangu wengne naomba mniambie ukweli kuhusu hii koz kabla cjafanya maamuzi makuu. pia udom wanatoa hiyo bachelor degree ya software engineering.
najua hapa wapo wengi wa taalamu wa masuala haya na ajira, natumaini mtanifumbua akili nijue la kufanya.
natanguliza shukrani[/QUOTES
Sellable sciences (Degrees)
Medical
Electrical
Computer science/I.T
Mechanical
hayo mengine unajisumbua Software Engeenering? bongo? Utakuwa kama wenzio wanaodanganywa kwenda kusoma Petroleum Engineering wako kitaa tuu wanazunguka.
Chuo ni kizur na suala la ajir sio tata xana..ila Nina uhakik kozi iyo itakusaidia hata kujiajir lyk kuanzisha blog na ukalipwa na makampun ..ni ivo kW mtazmo wng
hayo mengine unajisumbua Software Engeenering? bongo? Utakuwa kama wenzio wanaodanganywa kwenda kusoma Petroleum Engineering wako kitaa tuu wanazunguka.
nimekupata mkuu lakn kuna ndugu wawili wameniambia wamesoma hiyo koz na sasa wana mshaara wao mzuri tuu. pia uwezo wangu wa kusoma medicine ni mdogo mf mkopo nikikosa? pia cbg niliyosoma naona chenga. bora hii coz najua nkitoka hapo naweza ata fundisha somo la computer shulen, naweza ajiriwa pia naweza fungua kibanda changu ni deal na software maintainance au unanishauri nn mkuu. pia ada hapo ruco ni bei chee na mkopo juu sasa nitake nn tena kama sio kumshukuru mungu na kuomba mafanikio zaidi. pia mambo ya udaktari hayapo moyon ntaweza ua wagonjwa eti. mm ni mtu wa bata kiaina cpend usumbufu sana japo nafanya kazi mno hadi nyumban bibi na wengne wananiambia pumzika. napenda kufanya kitu kilichopo moyon nsije kuua wagonjwa. pia kwa stress nlizonazo nahis naweza disco medicine haki ya mungu na pesa nyumban hamna kwa sabab mama na madogo wanasoma shule za private na cjui maza ata pata wap hela na mshua alishadanja toka 2003 na maza ni nurse levo ya diploma. ndugu wengne hali ngumu nao wanaangaika na kinua familia zaoHabari wa wakati huu wakuu. samahanini naomben ushauri nimetoka jukwaa la elimu nikaja huku kwa sababu mambo ya teknolojia yanahusu sana.
mimi nimechaguliwa hiyo course kwa level ya bachelor degree chuo cha rucu/ruco iringa. napenda sana mambo ya computer japo wazaz wanagomba na mimi nikasome MEDICAL DOCTOR na mimi sijafanya vizur kwan inaushindani sana hata vyuo vya private ni ngumu mno. bas wanataka nikasome diploma ya clinical officer tuu. mimi naona ngumu mno pia uri unaenda na uwezo wetu ni kidogo. kuna wadogo zangu wanakuja huko nyuma nawaonea huruma wasiteseke coz mimi nilikua huko na ni wa kike.
najua pesa zipo na mungu ndie anatoa nili apply na kupata hii coz. kinacho niumiza akili ni swala la ajira.
jaman wakubwa zangu na ndugu zangu wengne naomba mniambie ukweli kuhusu hii koz kabla cjafanya maamuzi makuu. pia udom wanatoa hiyo bachelor degree ya software engineering.
najua hapa wapo wengi wa taalamu wa masuala haya na ajira, natumaini mtanifumbua akili nijue la kufanya.
natanguliza shukrani[/QUOTES
Sellable sciences (Degrees)
Medical
Electrical
Computer science/I.T
Mechanical
hayo mengine unajisumbua Software Engeenering? bongo? Utakuwa kama wenzio wanaodanganywa kwenda kusoma Petroleum Engineering wako kitaa tuu wanazunguka.
nimekupata mkuu lakn kuna ndugu wawili wameniambia wamesoma hiyo koz na sasa wana mshaara wao mzuri tuu. pia uwezo wangu wa kusoma medicine ni mdogo mf mkopo nikikosa? pia cbg niliyosoma naona chenga. bora hii coz najua nkitoka hapo naweza ata fundisha somo la computer shulen, naweza ajiriwa pia naweza fungua kibanda changu ni deal na software maintainance au unanishauri nn mkuu. pia ada hapo ruco ni bei chee na mkopo juu sasa nitake nn tena kama sio kumshukuru mungu na kuomba mafanikio zaidi. pia mambo ya udaktari hayapo moyon ntaweza ua wagonjwa eti. mm ni mtu wa bata kiaina cpend usumbufu sana japo nafanya kazi mno hadi nyumban bibi na wengne wananiambia pumzika. napenda kufanya kitu kilichopo moyon nsije kuua wagonjwa. pia kwa stress nlizonazo nahis naweza disco medicine haki ya mungu na pesa nyumban hamna kwa sabab mama na madogo wanasoma shule za private na cjui maza ata pata wap hela na mshua alishadanja toka 2003 na maza ni nurse levo ya diploma. ndugu wengne hali ngumu nao wanaangaika na kinua familia zaoHabari wa wakati huu wakuu. samahanini naomben ushauri nimetoka jukwaa la elimu nikaja huku kwa sababu mambo ya teknolojia yanahusu sana.
mimi nimechaguliwa hiyo course kwa level ya bachelor degree chuo cha rucu/ruco iringa. napenda sana mambo ya computer japo wazaz wanagomba na mimi nikasome MEDICAL DOCTOR na mimi sijafanya vizur kwan inaushindani sana hata vyuo vya private ni ngumu mno. bas wanataka nikasome diploma ya clinical officer tuu. mimi naona ngumu mno pia uri unaenda na uwezo wetu ni kidogo. kuna wadogo zangu wanakuja huko nyuma nawaonea huruma wasiteseke coz mimi nilikua huko na ni wa kike.
najua pesa zipo na mungu ndie anatoa nili apply na kupata hii coz. kinacho niumiza akili ni swala la ajira.
jaman wakubwa zangu na ndugu zangu wengne naomba mniambie ukweli kuhusu hii koz kabla cjafanya maamuzi makuu. pia udom wanatoa hiyo bachelor degree ya software engineering.
najua hapa wapo wengi wa taalamu wa masuala haya na ajira, natumaini mtanifumbua akili nijue la kufanya.
natanguliza shukrani[/QUOTES
Sellable sciences (Degrees)
Medical
Electrical
Computer science/I.T
Mechanical
hayo mengine unajisumbua Software Engeenering? bongo? Utakuwa kama wenzio wanaodanganywa kwenda kusoma Petroleum Engineering wako kitaa tuu wanazunguka.
kwa ufupi tu achana na yoote nenda pambana na Medicine kwa gharama yeyote hata kama utasoma miaka 6 kufa na kupona bado ni bora :
1. Uhakika wa Ajira
2.Ni rahisi Doctor/medical Officer kurudi chuo na kusoma Computer science lakini Reverse yake NGUMU SANA
3. Kwa jamii hii ya dunia ya tatu HADHI YA DOCTOR VS ENGINEER ni kubwa kuliko.
4.Bado inawezekana kujiajiri mitaani
Hehehe computer science akaanzishe blog? duh mkuu usishiriki kutoa ushauri tena kwa maswala haya....
vp mkuu hzo mbishe za bloggn hazlip? vp nkiwa tcha au nkianzsha kibanda chang na kuanza ku deal na mambo ya computer software maintainance na hata cm ctavuna noti kwel? maana naona wadau huku mujini wanavuta mpunga mdogo mdogo tu kwa kuflash cm na mambo ya windozzz na hata hawakai dk washaingza buku 10 15 kwa kuflash cm tuu? kwa kwel me naona maisha ujanja ama nn
mmmmh samahan naomba no yako pm natumain utanisaidia zaid kabla cjaaanza safar rasmi Dreson4Hayo yote unayosema sio mambo ya mtu wa computer science kufanya, hayo ni mambo mtu yeyote yule anafanya wa kawaida tu.. Computer science iko deep zaidi ya hicho unachofanya hapo, kuanzia utengenezaji wa software za computer unazotumia hadi kurusha rocket inayoenda mars, ipo hadi kwenye kilimo modern, kutengeneza almost kila kitu..
thanx mkuu kwa ushauri ila ishu ya combi nayo ni shida kwa ufaulu wa sasa ivi pcb. ila kuna rafk yangu alinambia alikua na rafk yake yuko md bugando if mistaken bila cna uhakika nachojua mm cbg ukipata gpa ya maana vyuo vya private unapata mf kule archbishop james ajuco, ila ukitoa hiyo MD nauhakika medical labaratory unapata vizur vyuo ya private kama imtu.Nimegundua huyu Dogo ameshadahiliwa tayari RUCO so hakuna Ushauri utakaomsaidia na hatuwezi kugeuza admission yako kasome tu ulichochaguliwa lakini kuna kosa tuu hapo CBG huwezi kusoma Medicine na kama ukifanikiwa uzoefu unaonesha hakuna mtu anayejisomesha mwenyewe kwenye Medicine. Labda ukasome KIU ila Muhimbili, Bugando, KCMC au Habart Kairuki hautasoma na CBG. Waeleshe wazazi kuwa hicho kitu ulichosomea labda udaktari wa wanyama.
hiyo figure isikudanganye, kama mtu analipwa 1.5m kuna makato mengi yapo; 10% hifadhi ya jamii, karibia 18% kodi ya serikali, 3% mfuko wa taifa wa bima ya afya, 8% bodi ya mikopo ya elimu ya juu, kuna makato ya chama cha wafanyakazi, makato ya mambo ya kijamii kulingana na mahali husika mfano mfuko wa mazishi. kwa hiyo kwenye 1.5m karibia 600k 'inapotea' take home inakuwa 900k. Ukichukulia kodi ya nyumba 300k, chakula/nauli/utilities/mavazi/mizinga 500k na kazi yenyewe(udaktari) unatumika ipasavyo huna muda wa kufanya mambo yako binafsi, ni bora ukomae na CS.nimekupata mkuu lakin unaposema mshaara wa udaktari mdogo nakuwa kama sikuelewi ivi? kwa wanaoanza degree level wanalamba more than 1.5m na ushee. ila najua ualimu nitapga pia najipanga kusaka ajira makampuni ya simu najua yanalipa vizur au unaonaje hapo mkuu
nashukuru mkuu kwa ufafanuzi wako mkubwa. but ivi huwez kukataa michango mingine uko i mean ujitoe kabisa mf mm na bima ya afya nhif. kuna bimkubwa wangu kanikatia. sema sijajua vizuri makato yanavyokua private institution naona kama kuajiriwa government ni michisho tuu na kuumizana tuu. mf kwa cs lets say wanaanza na 700k wakiminya makato yote take home itakuaje??? now ishu ninayoiwazia ni kulipa mkopo tuu, kukatwa kodi ya serikali vingine havinuhusu. au kama vipi nakua nachukua mkwanja wangu on hand. viduburasha vingine wamalizane serikalini uko. sema naizimia ajira ya serikalini because una uko more safe. only that na unaruhusiwa kuongeza elimu while umeajiriwa tofauti na makampuni ya binafsi ile tuu ukiumwa sikumbili tatu hujawasili ofisini kwa heri.hiyo figure isikudanganye, kama mtu analipwa 1.5m kuna makato mengi yapo; 10% hifadhi ya jamii, karibia 18% kodi ya serikali, 3% mfuko wa taifa wa bima ya afya, 8% bodi ya mikopo ya elimu ya juu, kuna makato ya chama cha wafanyakazi, makato ya mambo ya kijamii kulingana na mahali husika mfano mfuko wa mazishi. kwa hiyo kwenye 1.5m karibia 600k 'inapotea' take home inakuwa 900k. Ukichukulia kodi ya nyumba 300k, chakula/nauli/utilities/mavazi/mizinga 500k na kazi yenyewe(udaktari) unatumika ipasavyo huna muda wa kufanya mambo yako binafsi, ni bora ukomae na CS.