Naona.jamaa angempa tu simu
Mama apitie comment kisha atoe maamuzi.
What kind of woman is she!
Hajali afya yake!
Anaogopa kuonana na Dr
Hajawahi kuzaa ama hatawahi?
Huyu ni mwanaume wake wa kwanza na wa mwisho!
Naona.jamaa angempa tu simu
Mama apitie comment kisha atoe maamuzi.
What kind of woman is she!
Hajali afya yake!
Anaogopa kuonana na Dr
Hajawahi kuzaa ama hatawahi?
Huyu ni mwanaume wake wa kwanza na wa mwisho!
Pole kwa mkeo..akubali tu kusafishwa hali aliyonayo sio nzuri..aibu mbele ya uzima!! Ongea nae akuelewe au hata mtafutie daktari wa kike aongee nae vizuri
Anaogopa bure tu. ilimtokea wife tukaenda Burhan (Dar) wakamchoma sindano ya usingizi kwanza kabla ya kumsafisha. nendeni hospitali zenye theater ambazo wanafanya na operations (huku wana wataalam wa usingizi). msiende zahanati za ushchochoroni ambaz hawafanyi upasuaji huko hawana dawa ya usingizi wala wataalamu wa usingizi