khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,054
- 1,202
Habari wanajamii forum naombeni msaada na maelezo kidogo kwa yoyote anayejua hesabu hizi katika ununuzi wa maeneo hasa viwanja, maana utakuta dalali au mtu anayeuza eneo lake anakwambia kiwanja kinauzwa ni 20 kwa 20 au 15 kwa 15 , je mtu akisema hivyo anamaanisha nini?
Ni hatua za miguu au ni nini? na je njia sahihi za kupima kiwanja ambacho akijapimwa na manispaa ni zipi?
Ni hatua za miguu au ni nini? na je njia sahihi za kupima kiwanja ambacho akijapimwa na manispaa ni zipi?