kanuga
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 743
- 1,309
m-power mambo ya solar na customer care ndizo nazozijua
m-power mambo ya solar na customer care ndizo nazozijua
Erolink unaweza kupeleka hapo morocco au huku mikocheni karibu na chuo cha tumaini km unaelekea cocacola..mimi nataka nipeleke jumatatu na pia nitapeleka hallotel..na wewe jaribu uwezi jua bahati yakoWakuu kwa aliyeconfirm ofc za erolink...
Jumatatu ndo napeleka..ofisi zao zipo morocco na mikocheni ukiwa km unaenda cocacola..VP Mkuu uliwapata? Ofisi zao zpo wap?
Shuka pale morocco ili usipotee pale kuna bajaji waambie wakupelek erolink ni elfu moja tu mpk hapo..ila sio mbali ila kwa sababu ni mgeni fanya tu hivyo au ukishuka hapo waulizie wa boda boda ilipo ofis zaoOK. Morocco, Wapo jengo gan mkuu?
NdioAsante Mkuu, c ni unamaanisha morocco baada ya kinondon, ambapo kuna jengo kubwa la airtel. Na sio Morocco ya Magomen.?
Wako Morocco acha kumdanganya dogo ukishuka Morroco nenda hadi nyuma ya sheli ya total/bonjour kuna kampuni pembeni inaitwa intergrated communiction nyoosha na hiyo barabara ya udongo had mwisho au waulize walinz utakao waona pembeni ya intrgrated commKwa ss wanapatikana Mikochen kwa Warioba ukishuka kwenye daladala kama unatokea kawe upande wa kulia utaona jengo limeandikwa Kida plaza wanapatikana gorofa ya pili
WakAo Morocco acha kumdanganya dogo ukishuka Morroco nenda hadi nyuma ya sheli ya total/bonjour kuna kampuni pembeni inaitwa intergrated communiction nyoosha na hiyo barabara ya udongo had mwisho au waulize walinz utakao waona pembeni ya intrgrated comm
Una uwakika gani km kamdanganya?ni kweli hata hapo kwa walioba wana ofisi zao ila kwa sasa wamesitisha kupokea barua ukienda wanakuambia upeleke morrocoWako Morocco acha kumdanganya dogo ukishuka Morroco nenda hadi nyuma ya sheli ya total/bonjour kuna kampuni pembeni inaitwa intergrated communiction nyoosha na hiyo barabara ya udongo had mwisho au waulize walinz utakao waona pembeni ya intrgrated comm
mi naijua hiiQuality Center, Pugu road.