Mdau Makin
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 767
- 207
Nimepamiss FARU @2011
Ktk maelezo yako naiona shule nyingine nzuri ya ufundi Moshi ...Moshi Ufundi na Tanga School walikuwa na mahusiano mazuri sana back then sijui Kwa sasa!mkuu uko wapi kwa sasa unaonekana uko very updated na shule yako sana Hio flat nimeiona ata mimi juzi
Mi nilikuwa Simba wing no 4 tunaiita 'jamaica corner' enzi hizo
Shule nzuri mazingira yake mazuri sana,inawezekana ikawa hiyo ndiyo shule ya serikali yenye mazingira mazuri kuliko zote baada ya Kibaha secondary
The Boss, mwaka gani ulikaa hapo Kiungani ?
Mimi nilikuwa Simba pia, Wingi namba Moja pale chini karibu na laundry....
Dah, Umenikumbusha longi kichizi... Wingi namba Nne kule juu Kuna vyoo na bafu tulikuwa tunaita KAKUNYU, sijui Enzi zenu mlipaitaje. Enzi zetu KAKUNYU palikuwa hapaogei tena ni chimbo la Msuli na kupiga Vyuma
Nilikua Twiga 1987 to 1990Nimepamiss FARU @2011