<br />Wadau naomba msaada wa kufanya manual configuration ya airtel internet. Nahitaji kufahamu <br />
1. APN.<br />
2. Gateway IP address<br />
3. Gateway port.
<br /><br /><br />
<br /><br />
hahahaaa....captain na wewe umekuwa muhanga wa simu za kichina kama mimi nini? Any way, kwakuwa mimi ni mteja wa Airtel, I can help. APN= internet.tz.airtel.com, IP address= 010.246.017.81. I hope nimekusaidia. Ukishindwa wapigie 100 watakusaidia
<br /><br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Mzee wewe unauliza dagaa kigoma? Simu ikigoma auto means ni mchina. Thank you kaka.