Msaada: Aina gani ya laptop nzuri?

IT Guru

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
635
112
Habari zenu wanajamvi. Natumai wote wazima kabisa. Mimi nahitaji ushaur kutoka kwa wazoefu wa laptop. Aina gan ya laptop ina ubora kwa sasa. Natangulisha shukran zangu
 
Mr.Cool,
mahitaji ya laptob yanadepend sana na mnunuzi... jana nilikuwa namsikiliza mama yangu ananitajia aina ya laptop anayotaka akasema anataka ya ukubwa wa 10 inch, yani itoshe kwenye mkoba, nikamuuliza kwani unaitaka ya nini hasa, akaniambia yeye mwenyewe anataka tu laptop hata cha maana cha kuifanyia hana, atasoma magazeti na kusikiliza mahubiri ya mwakasege...LOL

So wewe je unahitaji nini zaidi? durability, perfomance, graphics, constant video steaming, e-reading and browsing, dvelopment, yani hapa utapata msaada ukisema utakuwa unaitumia hasa kwa activities gani? kwa hiyo ubora is a relative term.
 
Mr.Cool,
mahitaji ya laptob yanadepend sana na mnunuzi... jana nilikuwa namsikiliza mama yangu ananitajia aina ya laptop anayotaka akasema anataka ya ukubwa wa 10 inch, yani itoshe kwenye mkoba, nikamuuliza kwani unaitaka ya nini hasa, akaniambia yeye mwenyewe anataka tu laptop hata cha maana cha kuifanyia hana, atasoma magazeti na kusikiliza mahubiri ya mwakasege...LOL

So wewe je unahitaji nini zaidi? durability, perfomance, graphics, constant video steaming, e-reading and browsing, dvelopment, yani hapa utapata msaada ukisema utakuwa unaitumia hasa kwa activities gani? kwa hiyo ubora is a relative term.

hapo penye blue pamenikosha sana. Bahati mbaya mini-laptop (za 10 inch) hazina cd/dvd Rom
 
Mr. Cool, ubora wa laptop unategemea unataka kufanyia nini kama ulivyoshauriwa lakini generally naweza kukupa ushauri wa brand gani kutokana na uzoefu wangu na sio utaalamu wala specification. Hii ni listi ya tano bora zangu.
  1. Apple
  2. Sony
  3. Toshiba
  4. Dell
  5. HP
Hizo zote nimetumia, kila moja ina faida na hasara zake.

Tukianzia na Apple, faida kubwa ni kwenye video na picha editing, haina mshindani. Program yake ya Final Cut Pro II mpaka sasa bado haijapata mshindani. Mimi binafsi natumia Mac Air Book kijistudio changu kinatumia Mac Book Pro 11 na zote hazijawahi kusumbua kabisa tatizo lake, ukifanya kitu kwenye Mac huwezi kurekebisha kwenye computer nyingine zaidi ya Mac kwani baadhi ya program zake nyingi haziko competible na wengine.

Nikija kwenye Sony Vaio nazo ziko bombo, haswa upande wa vedio na miziki, haziharibiki ovyo tatizo la Sony ni moja tuu, betri zake hazikai muda mrefu ikikikuhurumia sana, basi itakaa kwa saa nzima tuu. Tatuzo jingine kwa bongo, hakuna authorised service ya sony, hivyo ikisumbua, ukipelela kwa mafundi wetu, mara nyingi huwa ndio mwanzo wa mwisho wa sony sony yako, ila mpaka iharibike ni shughuli!.

Hizi Mac na Sony zote zina tatizo la ziada, hakuna za bei poa, Tanzania kuna maduka mawili tuu ya Mac, moja liko JM Mall, Elite Computers na jingine Shoppers Plaza, bei zote ni kuanzia M.1 na kupanda juu. Sony zimetapakaa maduka ya Wahindi na bei zinapoa kidogo.

Toshiba na Dell pia ni laptop nzuri afadhali afadhali na ya mwisho ni HP, hizi kwa joto la bongo ni vimeo!. Nikiwa New Dheli, nilinunua HP Pavillion brand new toka duka la HP nikapewa na warantry ya mwaka mmoja. Nimerudi Bongo nimeitumia less than a year screen ikagoma kuwaka, just black screen. Nikaipeleka kwa HP dealer hapa bongo, kwa kuanzia akaniambia ile warant ni applicable New Dheli sio hapa bongo. Nikakubali kuilipia, wakaniambia display imekufa!. Hapa kwa fundi nilizishuhudia HP nyingine kibao zimekaa mkao wa kifo. Cost ya kuinunua hiyo display kujimlisha usumbufu nikaamua niiache tuu hapo kwa fundi na kuachana kabisa na HP kwenye maisha yangu ya laptop.

Kwa matumizi ya watoto wa shule, vile vilap top vidogo, vi Atom vya Dell vitawasaidia sana, brand new vinauzwa laki nne kwenye maduka ya wahindi. Kama una jamaa zako nchi za nje, vinauzwa dola 200 tuu, ila kuwa makini na famba za China, zinauzwa Dola 100 tuu ila ni vimeo hatari cheza mbali!.

Natumaini maelezo hayo yatakusaidia kujua ununue laptop ya jina gani, yaani brand name ipi.

Pasco.
 
Habari zenu wanajamvi. Natumai wote wazima kabisa. Mimi nahitaji ushaur kutoka kwa wazoefu wa laptop. Aina gan ya laptop ina ubora kwa sasa. Natangulisha shukran zangu

Kila brand maarufuu zina range of products zinzotofautiana performance , bei na specifaction

HP tembelea HP Home Laptop PCs at a glance - HP Home & Home Office products uone HP envy, HP home Mini PC and HP pavillion . zote hizi ziko product range na series tofauti tofaiti
Nachopenda kuhusu HP ni support website yao ni rahiiskutumia nakupata drivers. Pia kwa gharama HP zinaonekana ni nafuu kulinganisha na brand zingine zenye specifaction sawa

Toshiba kuna satelite , Qosmio Portege, Satlite Pro na Tecra.
unawezakutembela site hii Laptops, Netbooks & Notebook Computers | Toshiba uone wanatofautisha vipi mtumizi yake . Satelite na Portege are the model to for ukiamua kunuanua Toshiba brand. Kwa bei zipo satelite za kuanzia $ 399 mpaka nyingine zinafika $ 700 na zaidi. Nimetumia Toshba satelite ni laptop imara kulinganisha na baadhi ya HP

Asus. Nimesoma review za watu mbali mbali online kuhusu laptop brand bora zaidi kwa perfomace naona Asus ndo mshindi. hasa kama wewe ni mtu wa gaming and mulmedia. sijawai kuitumia but sidhani kama hawa wana hata support center yeyote tanzania achilia mbali east africa. Hiki ni kitu cha muhimu . Pianadhni hizo Asus bora bei yake kwa mtanzania wa kawaida hazishikiki. Mfano kuna Asus G73SW-91136Z inafika bei ya £1,700. Kwa bei unawezakupata Toshba au HP mbili standard bila ku sacrife sana performance

So kwanza fanya onlineshopping kwa kutembelea tovuti kama dell, HP Toshiba, Acer, Then chagua model kama tatu au nne . Leta hapa model ulizochagua. Uliza watu ipi ni bora.
 
hapo penye blue pamenikosha sana. Bahati mbaya mini-laptop (za 10 inch) hazina cd/dvd Rom

Hahahaaa! Nimeipenda hiyo, atakuwa anaazima external CD/DVD drive kutoka kwa mtoto wake, au atatumia flash.
 
Shukran sana wanajamvi. Yani mmenisaidia sana, nimejua vitu vingi kuhusu laptop sasa ambavyo sikuvifahamu kabla. Nawashukuru wote kwa ushaur wenu, utingo, zasasule, x-not, leney, pasco, mtazamaj na ndibalema. Ahsanteni sana
 
Mr. Cool, ubora wa laptop unategemea unataka kufanyia nini kama ulivyoshauriwa lakini generally naweza kukupa ushauri wa brand gani kutokana na uzoefu wangu na sio utaalamu wala specification. Hii ni listi ya tano bora zangu.

  1. Apple
  2. Sony
  3. Toshiba
  4. Dell
  5. HP
Hizo zote nimetumia, kila moja ina faida na hasara zake.

Tukianzia na Apple, faida kubwa ni kwenye video na picha editing, haina mshindani. Program yake ya Final Cut Pro II mpaka sasa bado haijapata mshindani. Mimi binafsi natumia Mac Air Book kijistudio changu kinatumia Mac Book Pro 11 na zote hazijawahi kusumbua kabisa tatizo lake, ukifanya kitu kwenye Mac huwezi kurekebisha kwenye computer nyingine zaidi ya Mac kwani baadhi ya program zake nyingi haziko competible na wengine.

Nikija kwenye Sony Vaio nazo ziko bombo, haswa upande wa vedio na miziki, haziharibiki ovyo tatizo la Sony ni moja tuu, betri zake hazikai muda mrefu ikikikuhurumia sana, basi itakaa kwa saa nzima tuu. Tatuzo jingine kwa bongo, hakuna authorised service ya sony, hivyo ikisumbua, ukipelela kwa mafundi wetu, mara nyingi huwa ndio mwanzo wa mwisho wa sony sony yako, ila mpaka iharibike ni shughuli!.

Hizi Mac na Sony zote zina tatizo la ziada, hakuna za bei poa, Tanzania kuna maduka mawili tuu ya Mac, moja liko JM Mall, Elite Computers na jingine Shoppers Plaza, bei zote ni kuanzia M.1 na kupanda juu. Sony zimetapakaa maduka ya Wahindi na bei zinapoa kidogo.

Toshiba na Dell pia ni laptop nzuri afadhali afadhali na ya mwisho ni HP, hizi kwa joto la bongo ni vimeo!. Nikiwa New Dheli, nilinunua HP Pavillion brand new toka duka la HP nikapewa na warantry ya mwaka mmoja. Nimerudi Bongo nimeitumia less than a year screen ikagoma kuwaka, just black screen. Nikaipeleka kwa HP dealer hapa bongo, kwa kuanzia akaniambia ile warant ni applicable New Dheli sio hapa bongo. Nikakubali kuilipia, wakaniambia display imekufa!. Hapa kwa fundi nilizishuhudia HP nyingine kibao zimekaa mkao wa kifo. Cost ya kuinunua hiyo display kujimlisha usumbufu nikaamua niiache tuu hapo kwa fundi na kuachana kabisa na HP kwenye maisha yangu ya laptop.

Kwa matumizi ya watoto wa shule, vile vilap top vidogo, vi Atom vya Dell vitawasaidia sana, brand new vinauzwa laki nne kwenye maduka ya wahindi. Kama una jamaa zako nchi za nje, vinauzwa dola 200 tuu, ila kuwa makini na famba za China, zinauzwa Dola 100 tuu ila ni vimeo hatari cheza mbali!.

Natumaini maelezo hayo yatakusaidia kujua ununue laptop ya jina gani, yaani brand name ipi.

Pasco.



ukisema maduka mawili tu Tanzania nzima unakuwa unakosea mkubwa..maduka kama Sound & Vision, Benson Co. na Computec ltd ya Arusha yanauza computer za Mac..
Mr. Cool, do visit this notebook check website so u can do more comparison between different laptop Brands, utaweza kujua ni laptop ipi yenye Graphics Card nzuri zaidi, portability, CPU performance, Business Laptop, Gaming and Multimedia na utapata advice ya kununua laptop..
( FAQ / Tips / Technics - Notebookcheck.net Tech), cheers.
 
ukisema maduka mawili tu Tanzania nzima unakuwa unakosea mkubwa..maduka kama Sound & Vision, Benson Co. na Computec ltd ya Arusha yanauza computer za Mac..
Mr. Cool, do visit this notebook check website so u can do more comparison between different laptop Brands, utaweza kujua ni laptop ipi yenye Graphics Card nzuri zaidi, portability, CPU performance, Business Laptop, Gaming and Multimedia na utapata advice ya kununua laptop..
( FAQ / Tips / Technics - Notebookcheck.net Tech), cheers.

oh ngoja niipitie sasa, thank u very much Brakelyn.
 
Tatizo no mtumiaji aliye kuuzia usitegemee adopter ya wifi iwe Haipo au imekufa alafu ukatalajia ifanyekazi.lazima ikatae maana kuzichomoa makukuwekea mbovu nirahisi.HP hawana matatizo lands ukinunua zain machinations Ndogo hata driver zinasumbua.ninja zain mitumba ingawa being Zainabu shabiliana.Manana nkuna mtu nilitaka kumuuzia laptop Acer Kwa laki6 akasema sibora niende dukanitu nkasema ok.baadae akaleta malalamiko Kuwa inamsumbua.nikamwambia joyous Ndogo tofaut ya mtumbani NA dukani.hivyo bei nafuu lazima ikugharimu
 
Mr. Cool, ubora wa laptop unategemea unataka kufanyia nini kama ulivyoshauriwa lakini generally naweza kukupa ushauri wa brand gani kutokana na uzoefu wangu na sio utaalamu wala specification. Hii ni listi ya tano bora zangu.
  1. Apple
  2. Sony
  3. Toshiba
  4. Dell
  5. HP
Hizo zote nimetumia, kila moja ina faida na hasara zake.

Tukianzia na Apple, faida kubwa ni kwenye video na picha editing, haina mshindani. Program yake ya Final Cut Pro II mpaka sasa bado haijapata mshindani. Mimi binafsi natumia Mac Air Book kijistudio changu kinatumia Mac Book Pro 11 na zote hazijawahi kusumbua kabisa tatizo lake, ukifanya kitu kwenye Mac huwezi kurekebisha kwenye computer nyingine zaidi ya Mac kwani baadhi ya program zake nyingi haziko competible na wengine.

Nikija kwenye Sony Vaio nazo ziko bombo, haswa upande wa vedio na miziki, haziharibiki ovyo tatizo la Sony ni moja tuu, betri zake hazikai muda mrefu ikikikuhurumia sana, basi itakaa kwa saa nzima tuu. Tatuzo jingine kwa bongo, hakuna authorised service ya sony, hivyo ikisumbua, ukipelela kwa mafundi wetu, mara nyingi huwa ndio mwanzo wa mwisho wa sony sony yako, ila mpaka iharibike ni shughuli!.

Hizi Mac na Sony zote zina tatizo la ziada, hakuna za bei poa, Tanzania kuna maduka mawili tuu ya Mac, moja liko JM Mall, Elite Computers na jingine Shoppers Plaza, bei zote ni kuanzia M.1 na kupanda juu. Sony zimetapakaa maduka ya Wahindi na bei zinapoa kidogo.

Toshiba na Dell pia ni laptop nzuri afadhali afadhali na ya mwisho ni HP, hizi kwa joto la bongo ni vimeo!. Nikiwa New Dheli, nilinunua HP Pavillion brand new toka duka la HP nikapewa na warantry ya mwaka mmoja. Nimerudi Bongo nimeitumia less than a year screen ikagoma kuwaka, just black screen. Nikaipeleka kwa HP dealer hapa bongo, kwa kuanzia akaniambia ile warant ni applicable New Dheli sio hapa bongo. Nikakubali kuilipia, wakaniambia display imekufa!. Hapa kwa fundi nilizishuhudia HP nyingine kibao zimekaa mkao wa kifo. Cost ya kuinunua hiyo display kujimlisha usumbufu nikaamua niiache tuu hapo kwa fundi na kuachana kabisa na HP kwenye maisha yangu ya laptop.

Kwa matumizi ya watoto wa shule, vile vilap top vidogo, vi Atom vya Dell vitawasaidia sana, brand new vinauzwa laki nne kwenye maduka ya wahindi. Kama una jamaa zako nchi za nje, vinauzwa dola 200 tuu, ila kuwa makini na famba za China, zinauzwa Dola 100 tuu ila ni vimeo hatari cheza mbali!.

Natumaini maelezo hayo yatakusaidia kujua ununue laptop ya jina gani, yaani brand name ipi.

Pasco.
mkuu mimi natumia macbook pro nimenunua juzi tu ni ya mtumba lakini bado iko fresh

macbook pro 13 inch mid 2012
processor 2.5 ghz intel core i5
memory 4 gb 1600 mhz ddr3
graphics intel hd graphics 4000 1536 mb

vipi hii mkuu itafaa kwa matumizi ya kawaida au ina uwezo mdogo sana
 
Habari zenu wanajamvi. Natumai wote wazima kabisa. Mimi nahitaji ushaur kutoka kwa wazoefu wa laptop. Aina gan ya laptop ina ubora kwa sasa. Natangulisha shukran zangu
kwa kazi hipi na kwa ajili ya kitu gani
 
Back
Top Bottom