Mr.Cool,
mahitaji ya laptob yanadepend sana na mnunuzi... jana nilikuwa namsikiliza mama yangu ananitajia aina ya laptop anayotaka akasema anataka ya ukubwa wa 10 inch, yani itoshe kwenye mkoba, nikamuuliza kwani unaitaka ya nini hasa, akaniambia yeye mwenyewe anataka tu laptop hata cha maana cha kuifanyia hana, atasoma magazeti na kusikiliza mahubiri ya mwakasege...LOL
So wewe je unahitaji nini zaidi? durability, perfomance, graphics, constant video steaming, e-reading and browsing, dvelopment, yani hapa utapata msaada ukisema utakuwa unaitumia hasa kwa activities gani? kwa hiyo ubora is a relative term.
Habari zenu wanajamvi. Natumai wote wazima kabisa. Mimi nahitaji ushaur kutoka kwa wazoefu wa laptop. Aina gan ya laptop ina ubora kwa sasa. Natangulisha shukran zangu
hapo penye blue pamenikosha sana. Bahati mbaya mini-laptop (za 10 inch) hazina cd/dvd Rom
Mr. Cool, ubora wa laptop unategemea unataka kufanyia nini kama ulivyoshauriwa lakini generally naweza kukupa ushauri wa brand gani kutokana na uzoefu wangu na sio utaalamu wala specification. Hii ni listi ya tano bora zangu.
Hizo zote nimetumia, kila moja ina faida na hasara zake.
- Apple
- Sony
- Toshiba
- Dell
- HP
Tukianzia na Apple, faida kubwa ni kwenye video na picha editing, haina mshindani. Program yake ya Final Cut Pro II mpaka sasa bado haijapata mshindani. Mimi binafsi natumia Mac Air Book kijistudio changu kinatumia Mac Book Pro 11 na zote hazijawahi kusumbua kabisa tatizo lake, ukifanya kitu kwenye Mac huwezi kurekebisha kwenye computer nyingine zaidi ya Mac kwani baadhi ya program zake nyingi haziko competible na wengine.
Nikija kwenye Sony Vaio nazo ziko bombo, haswa upande wa vedio na miziki, haziharibiki ovyo tatizo la Sony ni moja tuu, betri zake hazikai muda mrefu ikikikuhurumia sana, basi itakaa kwa saa nzima tuu. Tatuzo jingine kwa bongo, hakuna authorised service ya sony, hivyo ikisumbua, ukipelela kwa mafundi wetu, mara nyingi huwa ndio mwanzo wa mwisho wa sony sony yako, ila mpaka iharibike ni shughuli!.
Hizi Mac na Sony zote zina tatizo la ziada, hakuna za bei poa, Tanzania kuna maduka mawili tuu ya Mac, moja liko JM Mall, Elite Computers na jingine Shoppers Plaza, bei zote ni kuanzia M.1 na kupanda juu. Sony zimetapakaa maduka ya Wahindi na bei zinapoa kidogo.
Toshiba na Dell pia ni laptop nzuri afadhali afadhali na ya mwisho ni HP, hizi kwa joto la bongo ni vimeo!. Nikiwa New Dheli, nilinunua HP Pavillion brand new toka duka la HP nikapewa na warantry ya mwaka mmoja. Nimerudi Bongo nimeitumia less than a year screen ikagoma kuwaka, just black screen. Nikaipeleka kwa HP dealer hapa bongo, kwa kuanzia akaniambia ile warant ni applicable New Dheli sio hapa bongo. Nikakubali kuilipia, wakaniambia display imekufa!. Hapa kwa fundi nilizishuhudia HP nyingine kibao zimekaa mkao wa kifo. Cost ya kuinunua hiyo display kujimlisha usumbufu nikaamua niiache tuu hapo kwa fundi na kuachana kabisa na HP kwenye maisha yangu ya laptop.
Kwa matumizi ya watoto wa shule, vile vilap top vidogo, vi Atom vya Dell vitawasaidia sana, brand new vinauzwa laki nne kwenye maduka ya wahindi. Kama una jamaa zako nchi za nje, vinauzwa dola 200 tuu, ila kuwa makini na famba za China, zinauzwa Dola 100 tuu ila ni vimeo hatari cheza mbali!.
Natumaini maelezo hayo yatakusaidia kujua ununue laptop ya jina gani, yaani brand name ipi.
Pasco.
ukisema maduka mawili tu Tanzania nzima unakuwa unakosea mkubwa..maduka kama Sound & Vision, Benson Co. na Computec ltd ya Arusha yanauza computer za Mac..
Mr. Cool, do visit this notebook check website so u can do more comparison between different laptop Brands, utaweza kujua ni laptop ipi yenye Graphics Card nzuri zaidi, portability, CPU performance, Business Laptop, Gaming and Multimedia na utapata advice ya kununua laptop..
( FAQ / Tips / Technics - Notebookcheck.net Tech), cheers.
HP by dr.dre
mkuu mimi natumia macbook pro nimenunua juzi tu ni ya mtumba lakini bado iko freshMr. Cool, ubora wa laptop unategemea unataka kufanyia nini kama ulivyoshauriwa lakini generally naweza kukupa ushauri wa brand gani kutokana na uzoefu wangu na sio utaalamu wala specification. Hii ni listi ya tano bora zangu.
Hizo zote nimetumia, kila moja ina faida na hasara zake.
- Apple
- Sony
- Toshiba
- Dell
- HP
Tukianzia na Apple, faida kubwa ni kwenye video na picha editing, haina mshindani. Program yake ya Final Cut Pro II mpaka sasa bado haijapata mshindani. Mimi binafsi natumia Mac Air Book kijistudio changu kinatumia Mac Book Pro 11 na zote hazijawahi kusumbua kabisa tatizo lake, ukifanya kitu kwenye Mac huwezi kurekebisha kwenye computer nyingine zaidi ya Mac kwani baadhi ya program zake nyingi haziko competible na wengine.
Nikija kwenye Sony Vaio nazo ziko bombo, haswa upande wa vedio na miziki, haziharibiki ovyo tatizo la Sony ni moja tuu, betri zake hazikai muda mrefu ikikikuhurumia sana, basi itakaa kwa saa nzima tuu. Tatuzo jingine kwa bongo, hakuna authorised service ya sony, hivyo ikisumbua, ukipelela kwa mafundi wetu, mara nyingi huwa ndio mwanzo wa mwisho wa sony sony yako, ila mpaka iharibike ni shughuli!.
Hizi Mac na Sony zote zina tatizo la ziada, hakuna za bei poa, Tanzania kuna maduka mawili tuu ya Mac, moja liko JM Mall, Elite Computers na jingine Shoppers Plaza, bei zote ni kuanzia M.1 na kupanda juu. Sony zimetapakaa maduka ya Wahindi na bei zinapoa kidogo.
Toshiba na Dell pia ni laptop nzuri afadhali afadhali na ya mwisho ni HP, hizi kwa joto la bongo ni vimeo!. Nikiwa New Dheli, nilinunua HP Pavillion brand new toka duka la HP nikapewa na warantry ya mwaka mmoja. Nimerudi Bongo nimeitumia less than a year screen ikagoma kuwaka, just black screen. Nikaipeleka kwa HP dealer hapa bongo, kwa kuanzia akaniambia ile warant ni applicable New Dheli sio hapa bongo. Nikakubali kuilipia, wakaniambia display imekufa!. Hapa kwa fundi nilizishuhudia HP nyingine kibao zimekaa mkao wa kifo. Cost ya kuinunua hiyo display kujimlisha usumbufu nikaamua niiache tuu hapo kwa fundi na kuachana kabisa na HP kwenye maisha yangu ya laptop.
Kwa matumizi ya watoto wa shule, vile vilap top vidogo, vi Atom vya Dell vitawasaidia sana, brand new vinauzwa laki nne kwenye maduka ya wahindi. Kama una jamaa zako nchi za nje, vinauzwa dola 200 tuu, ila kuwa makini na famba za China, zinauzwa Dola 100 tuu ila ni vimeo hatari cheza mbali!.
Natumaini maelezo hayo yatakusaidia kujua ununue laptop ya jina gani, yaani brand name ipi.
Pasco.
kwa kazi hipi na kwa ajili ya kitu ganiHabari zenu wanajamvi. Natumai wote wazima kabisa. Mimi nahitaji ushaur kutoka kwa wazoefu wa laptop. Aina gan ya laptop ina ubora kwa sasa. Natangulisha shukran zangu