Msaada: Acer laptop mpya inahitaji password.

Msaada: Acer laptop mpya inahitaji password.

baina

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
219
Reaction score
60
Habari wanajamvi. TATIZO LANGU NI KWAMBA NIMENUNUA ACER LAPTOP NIKITAKA KUINGIA KTK BIO SETUP INANITAKISHA PASSWOD. KWA TATIZO ILI SINA HATA UWEZO WA KUIFORMAT. DOCUMENTS ZOTE ZA UNUNUZI ZIPO, JE NIFANYEJE? NAOMBA MSAADA KWA TATIZO HILI.

SHUKRANI MBELE.
 
Mkuu nipe model yake nioinaje vile naweza kukupa msaada kwa hapo.
 
au kama unajiamini kufungua laptop fungua kwa nyuma (mara nyingi inakuwa sehem karibu na RAM au harddisk) utaona ka betri flani hivi kama la saa litoe kisha washa pc yako then zima halafu uirudushie then washa pc yako...ita futa kumbukumbu zote za CMOS ikiwemo bios settings..then unaingia kwenye bios setup na kuset upya..
 
au kama unajiamini kufungua laptop fungua kwa nyuma (mara nyingi inakuwa sehem karibu na RAM au harddisk) utaona ka betri flani hivi kama la saa litoe kisha washa pc yako then zima halafu uirudushie then washa pc yako...ita futa kumbukumbu zote za CMOS ikiwemo bios settings..then unaingia kwenye bios setup na kuset upya..

yenyewe hii.....!
 
Habari wanajamvi. TATIZO LANGU NI KWAMBA NIMENUNUA ACER LAPTOP NIKITAKA KUINGIA KTK BIO SETUP INANITAKISHA PASSWOD. KWA TATIZO ILI SINA HATA UWEZO WA KUIFORMAT. DOCUMENTS ZOTE ZA UNUNUZI ZIPO, JE NIFANYEJE? NAOMBA MSAADA KWA TATIZO HILI.

SHUKRANI MBELE.

uliinunua ikiwa hivyo? Km ulinunua ikiwa hivyo warudishie wenyewe. Km uluweka bila kufahamu nini unafanya tafuta mtaalam wa laptop aa flash bios setup na mambo yatakuwa safi kabisa.
 
Back
Top Bottom