Wadau naombeni msaada kama ni kawaida jambo hili kutokea. Gari yangu kila nikiwasha AC inasababisha ukungu/unyevunyevu mkubwa kioo cha mbele hali inayonilazimi kufuta kwa waipa mara kwa mara.
Je kwa mlio na ujuzi wa mambo haya nini tatizo na solution ni ipi.
Asanteni wadau
Je kwa mlio na ujuzi wa mambo haya nini tatizo na solution ni ipi.
Asanteni wadau