Msaada: 5% Withholding Tax on Service and VAT Charges

Msaada: 5% Withholding Tax on Service and VAT Charges

Sasa kama MTU anataka alipwe say, 20,000. Na hapo kodi natakiwa ni withhold (wth ya 5%), natakiwa kuassume gross figure ya 21,000(20,000+1000)? Au itabidi ni top up kwa style ingine ambayo ikifanywa 5% ,net yake itabaki 20,000?. Mara nyingi huwa na top up kiasi flani, lakini ukienda tra wanakukadiria 5% ya receipted amount
 
Achananei ba mambo ya mifano. Soma withholding tax practice note number 1 ya mwaka 2013. Google utaipata.
 
The Other Expert are Saying VAT should base on the Total Invoice Amount (1,000,000 *18% Vat) ndiyo ifuate 5% now kutokana na Mdau hapo juu anasema We should Charge 5% on the total Invoice Amount and VAT baadae Tax Expert waje watohoe


Sijajua tofauti inayotokana na hizo approach mbili kwa maana kuiangulia na VAT then WHT na ile ya kutanguliwa na WHT then VAT
 
Sasa huyo ambaye tax imekuwa withheld ataruhusiwa kuifanya kama.expense anapokuja kufanya final accounts zake ili alipe corporation tax?
 
Sasa huyo ambaye tax imekuwa withheld ataruhusiwa kuifanya kama.expense anapokuja kufanya final accounts zake ili alipe corporation tax?
Yule aliyekatwa ndio ataifanya kama advance corporaye tax. Aliyekata hataruhusiwa kuifanya expense maana si kodi yake. Kama ilivyo vat na withholfing tax hivyohivyo.
 
Chukulia mfano mzuri, Insuarance ya gari..., Bei ni 100,000/=,ukilipa unalipa na VAT 18%,jumla inakua 118,000/=,WHT 5% itatoka kwenye 100,000/=,so insurer atabakia na 95,000/=

Sent using Jamii Forums mobile app


Na je kwa mfano nikitoa huduma kwa kampuni X, katika huduma hiyo nimetumia gharama zangu shs 1000,000.00 na service charge (profit) ni 500,000.00, mteja wangu nitakuwa namdai1,500,000.00 je katika malipo hayo nitatakiwa kulipa hizo tozo kutoka kwenye ile 1,000,000.00 wakati tayari nililipa VAT wakati nalipia gharama kwenye matumizi yangu ya sh 1,000,000.00 si hii itakuwa kama nalipia VAT mtaji wangu ambayo tafsiri yake ni double taxation?
 
nilichoelew

nilichoelewa hapa ni kwamba mfano invoice charge yako ni 100000 inabidi ucharge plus 18% ya VAT
kwa hiyo jumla itakuwa 118000
lkn withholding tax unai calculate kwenye 10000 na sio kwenye 118000
5% ya 100000
Upo sawa mkuu
 
Safi sana ...ambaye hataelewa maelezo haya machache basi kuna tatizo.
Tatizo sio kukatwa wht, tatizo ni nini maana halisi ya witholding taxi?
withholding tax inakatwa kwenye amount excluding vat,
eg : total 10000
vat 18%of(10000) ............
wht 5%of(10000) .negative
Total inclusive ............. jibu
najaribu kukuwekea demonstration ya pale chinj kwenye calculation za kodi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Total value of service rendered(Exclusive of VAT) will always include 5% w/Tax Mkuu,eg if value is 100000,then then 5% W/Tax will be 5000 and VAT will be 18000.Total Invoice payable will be 113,000
 
Wasalamu..

Kabla ya Kuning'ing'izwa na TRA needs your help.

How do w charge Withholding Tax 5% plus VAT Tax on Services rendered Invoices?

Mfano a Total Invoices in charge ya 100, 000 then do we charge 5 % Withholding Tax before VAT or We Charge VAT first?

Hisabati inahitajika hama na Utalaamu wa Kodi
The basic amount ni TSH 1,000,000/= kwa hiyo kodi zote zina kuwa calculated tokea hapo
Hivyo 5% Service tax ni 1000,000/= x 5% = 50,000/=
Vat ni 18% x 1,000,000/= 180,000/=
jumla ya kodi ni 50,000 + 180,000 = 230,000/
 
Back
Top Bottom