H HAFSA1984 Member Mar 28, 2012 24 3 Apr 14, 2012 #1 Ndugu zangu waungwana nina kasimu changu cha tigo wamenipa bure lakini wamekibana natumia laini moja tu nikijaribu kuweka laini ya airtel inasema network lock naitaji maujuzi hapa
Ndugu zangu waungwana nina kasimu changu cha tigo wamenipa bure lakini wamekibana natumia laini moja tu nikijaribu kuweka laini ya airtel inasema network lock naitaji maujuzi hapa
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Apr 15, 2012 #2 HAFSA1984 said: Ndugu zangu waungwana nina kasimu changu cha tigo wamenipa bure lakini wamekibana natumia laini moja tu nikijaribu kuweka laini ya airtel inasema network lock naitaji maujuzi hapa Click to expand... kuna mawili unaweza peleka kwa fundi akaiflash ikafanya kazi au lingine ikafa..
HAFSA1984 said: Ndugu zangu waungwana nina kasimu changu cha tigo wamenipa bure lakini wamekibana natumia laini moja tu nikijaribu kuweka laini ya airtel inasema network lock naitaji maujuzi hapa Click to expand... kuna mawili unaweza peleka kwa fundi akaiflash ikafanya kazi au lingine ikafa..
F fbmimi New Member Jan 16, 2012 4 0 May 4, 2012 #3 download ROM then update kwe hiyo simu lakini kabla ujafanya hivyo backup simu yako.
utakuja JF-Expert Member Sep 20, 2010 990 800 May 4, 2012 #4 Njia tuu ni kuflash kuinstall rom mpya aisaidii kitu so tafuta fundi mmenye uwezo mkubwa