Mrusi aliyetengeneza Ak-47

Mrusi aliyetengeneza Ak-47

Hakika, ni mojawapo ya kifaa kilichokunywa damu nyingi sana.
Alfa Blond ameiimba hiyo bunduki. Kwenye kibao chke cha Khalashnikov. Hiko kifaa akikishika msomali pale mogadishu basi anaona kama dunia ioo kiganjani kwake.
Kifupi madhara ya hii bunduki ni makubwa sana. Osama bi Laden alikuwa haiachi hata kidogo.
Imeleta madhara huko somalia, liberia Seara Leoni, Afganistan nk.

Afu Mikhaily mwenyewe kafa masikini.
 
Hizi unazoziona bongo ni SMG 56 type au kwa jina lingine ni Ak 56 hii ni submachine gun tofauti kabisa na Ak 47 ambayo ni assault rifle na kama hujui silaha hutaweza kuzitofaitisha zinafanana sana kimuonekano
 
Baba successor pekee was Soviet Russia Ni Russian Federation. Kwahiyo Ni urusi pekee ambao kiukweli vumbuzi nyingi zimefanyika kwao ( mikoani) hata kabla ya anguko la Soviet Russia.
Russia ndo imebeba kila baya na zuri la Soviet Russia baada ya anguko Lile.
Russia ndo ilikuwa kila kitu kwa Soviet au huyo jamaa anaiona Soviet ni wapi
 
Bwashee ni hivi, Ukawa wangelijenga ofisi then ikasambalatika kama ilivyo sasa hiyo ofisi isingelikuwa Mali ya Chedema et kwasababu Chedema a
Ilikuwa na mtaji wa mkubwa na webunge wengi.
Back to the Topic.
Hadi leo kila Nchi mwanachama wa Soviet ana Akilimiliki ya kufyatua hayo mabunduki bila kuhojiwa na mwenzeka.
Kinachokufurahisha ni kuwa urusi siyo wagunduzi wa hiyo bunduki siyo?nonsense!
 
Kwanza mnatakiwa kujua kuwa michael kalashnikov alikuwa mvumbuzi(design) wa Ak-47 na sio mtengenezaji maana yeye hakuwa na kiwanda.watengenezaji wa Ak-47 ni kiwanda cha Kalashnikov group kilichoanzishwa mwaka 1807 na ni mali ya Urusi.

Michael kalashnikov alilipwa ela kwa ku design Ak 47 na ili kumpa eshima zaidi walimpandisha cheo kutoka sergeant mpaka kuwa lieutenant general.
AKA 47 ni mali ya soviet si Urusi kama jamaa anavyodai. Urusi si Soviet.
 
Hizi unazoziona bongo ni SMG 56 type au kwa jina lingine ni Ak 56 hii ni submachine gun tofauti kabisa na Ak 47 ambayo ni assault rifle na kama hujui silaha hutaweza kuzitofaitisha zinafanana sana kimuonekano
Ndio hizi wanazobeba polisi ?
 
Nenda you tube utaona majaribio yote ya ak kuna kutupwa kwenye tope zito na ikagonga kazi kama kawa,kuna kuchimbiwa,kuna kulowekwa kwenye maji zote hizo na walifanya hivyo kuilinganish na ile sijui inaitwa m16 carbine ya marekani
Bora umejitetea.. walitaka waanze kukuunganisha na panyaroad Mkuu
 
Huyu jamaa ni lazima alikuwa ni wakala wa shetani maana hii imekunywa Sana damu za watu
 
Alfa Blond ameiimba hiyo bunduki. Kwenye kibao chke cha Khalashnikov. Hiko kifaa akikishika msomali pale mogadishu basi anaona kama dunia ioo kiganjani kwake.
Kifupi madhara ya hii bunduki ni makubwa sana. Osama bi Laden alikuwa haiachi hata kidogo.
Imeleta madhara huko somalia, liberia Seara Leoni, Afganistan nk.

Afu Mikhaily mwenyewe kafa masikini.
Msomali anaijuia AK kama masai anavyojua mifugo yake.
 
Back
Top Bottom