Losser Bad
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 584
- 1,345
Hahah! Tabu Mbaga.Unataka details gan mkuu hii kazi ya warumi aisee
niliona her interview kwa Millard Ayo anasema kasoma Malaysia! Which isn’t true🤣 hatak kusema ukweli Shule alizosoma maana anajua kuna vichwa vitamuandama
Btw hayo maisha alikua anayapenda waaaaay back so it’s a dream come true to her.
Ukiongelea Ruaha Sec.pande za Iringa miaka hiyo ya 2006 wanamjua vizuri sana.
Huyu demu alikuwa na rangi yake nyeusi nzuri kabisa tako dogo la wastani.
Mkwawa chini kule ndio kwao kabisa.
Ila huyu demu sishangai kabisa ameenza kuishi fake life toka ana miaka 9 ndio infact maisha anayoyapenda.
Sent using Jamii Forums mobile app