Segito wa Kalenga
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 609
- 855
Huwaoni wanavyojiamini?.....🙄🙄🙄
we kijana shatapu umeniuzi sana ,ni marufuku kuwaongelea vibaya dada zetu wenye MAKALIO MAKUBWA ,heshimu rasilimali za nchiYaani bongo ukiwa na matako makubwa tu na kupiga mapicha ya uchi tayari ni star unapewa airtime hadi kwenye media..huu upumbavu wa awamu ya tano inatakiwa ukemewe kwa nguvu zote kwa faida ya vizazi vijavyo
Yaani bongo ukiwa na matako makubwa tu na kupiga mapicha ya uchi tayari ni star unapewa airtime hadi kwenye media..huu upumbavu wa awamu ya tano inatakiwa ukemewe kwa nguvu zote kwa faida ya vizazi vijavyo
Jana alikua fnl yani ni ngozi n sura utafikiria teja,halafu anshape kma ngalawa
Kuna mtu akiibiwa Tecno anaenda kuroga.
Dah... Mzee.. Nilikuwa najua hii kitu ni OG. Ndo maana ratio ya mwili haipo sawa.Daah tamaa hizi zitawaua baadhi ya dada zetu,yaani kajikataa mwenyewe na sito shangaa kuikataa familia yake.
View attachment 1334422
Hapo kushoto kabla ,kulia baada ya mchina kufanya mambo yake.
View attachment 1334423
View attachment 1334424
Ukitaka kujua mchina angalia ratio ya makalio na paja.Yaani mguu unakuwa kama rungu la mmasai.Dah... Mzee.. Nilikuwa najua hii kitu ni OG. Ndo maana ratio ya mwili haipo sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah tamaa hizi zitawaua baadhi ya dada zetu,yaani kajikataa mwenyewe na sito shangaa kuikataa familia yake.
View attachment 1334422
Hapo kushoto kabla ,kulia baada ya mchina kufanya mambo yake.
View attachment 1334423
View attachment 1334424
Jana alikua fnl yani ni ngozi n sura utafikiria teja,halafu anshape kma ngalawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema ngozi yake sio nzuri. Siku nikimuona live na mie ntahakikisha kama kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Surgery ya bei rahisi lazima iwe hivyo,mana angalia hips,mguu wa chini,tako,kiuno hazina uwiano kabisaWanasema ngozi yake sio nzuri. Siku nikimuona live na mie ntahakikisha kama kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli kabisa mguu wa chini kma kijiko chakunywea supuUkitaka kujua mchina angalia ratio ya makalio na paja.Yaani mguu unakuwa kama rungu la mmasai.
Anapatikana chini ya dola 500, wasiliana na Lemutuz. Yeye ni kuwadi wa wanawake bongo