Mrithi wa John Heche huyu hapa

Mrithi wa John Heche huyu hapa

Huo si upumbavu!! Unaposema huyu hapa maana yaake unamuona! Au ni jini ametoweka sasa una tuuliza tena sisi tunaokusikiliza kama siyo kusoma ulicho andika? BAVICHA wote wanaonekana Zumbukuku kwasababu ya watu kama wewe!!

Acha fujo wewe nilidhani nime edit kichwa cha habari baada ya kubadilisha content. chamuhimu ni kuelewa maudhui ya khabari tuu.
 
Kwa hapa hata mimi naungana na wewe, Mawazo kama umri unatosha ana fiti, Tatizo lake alikuwa Gamba tuu zamani. Mwenyekt ajaye Tupate mwenye sifa zote km za mawazo na itapendeza zaidi akose sifa moja tuu yakutoka Ugambani.
Tunataka kiongozi akisimama jukwaani anaeleweka BENSAANANE DOMO ZITO MKUU, HAWEZI JUKWAA HATA DAKIKA TANO KWA WANAO MFAHAMU ANA VIDOLE VYEPESI KUANDIKA KWENYE SOCIAL MEDIA TUU. Tukipata Mwenyekiti wa dizain hii hatoishimika na anaowaongoza SINA BIFU NA BEN na ni rafik yng lakini naipenda sana BAVICHA yangu.

ndio maana sijawahi kumsikia ben akihutubia kwenye mkutano wowote wa chadema, nasikia ana kigugumizi.kikali sana, bora aaendelee na kazi yake ya kubeba sumu tu
 
Sifa kuu ni awe na ujasiri wa kumwagia watu tindikali
 
ndio maana sijawahi kumsikia ben akihutubia kwenye mkutano wowote wa chadema, nasikia ana kigugumizi.kikali sana, bora aaendelee na kazi yake ya kubeba sumu tu

well said, huyo ni mbeba sumu tu hana lingine la maana
 
hata huyyu john heche mtajuta kukoswa kijana anayeweza kwenda mbele kwa mwili na akili yake bila kutumia mtandao ama kusubiri wakubwa wa chama wamuoneshe kama huyu kwa kweli heche bado alikuwa jembe sana kwa sasa sijaangalia labda dogo anaitwa naftali
 
cdm hatuna comrade tuna makamanda tu. hivyo mivyeo yako peleka lumumba
 
Tumpe MSALANI aongoze Bavicha sababu naskia wiki ijayo atahamia CHADEMA.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hapa hata mimi naungana na wewe, Mawazo kama umri unatosha ana fiti, Tatizo lake alikuwa Gamba tuu zamani. Mwenyekt ajaye Tupate mwenye sifa zote km za mawazo na itapendeza zaidi akose sifa moja tuu yakutoka Ugambani.
Tunataka kiongozi akisimama jukwaani anaeleweka BENSAANANE DOMO ZITO MKUU, HAWEZI JUKWAA HATA DAKIKA TANO KWA WANAO MFAHAMU ANA VIDOLE VYEPESI KUANDIKA KWENYE SOCIAL MEDIA TUU. Tukipata Mwenyekiti wa dizain hii hatoishimika na anaowaongoza SINA BIFU NA BEN na ni rafik yng lakini naipenda sana BAVICHA yangu.

asante kamanda, umenipa kitu ambacho napaswa kukifanyia utafiti.
 
Nikikumbuka namna John Heche Alivopatikana Naona Akuna Haja Ya Kupanga Km Vijana ndan ya chama (Bavicha_) Nan Ashike kijiti Baada ya HechË Nafikir Mh.Mbowe AtaÀmua
 
Back
Top Bottom