Mrithi wa John Heche huyu hapa

Mrithi wa John Heche huyu hapa

Nikikumbuka namna John Heche Alivopatikana Naona Akuna Haja Ya Kupanga Km Vijana ndan ya chama (Bavicha_) Nan Ashike kijiti Baada ya HechË Nafikir Mh.Mbowe AtaÀmua

Kweli mkuu si anateuliwa na Hayatolla Mtei
 
hata huyyu john heche mtajuta kukoswa kijana anayeweza kwenda mbele kwa mwili na akili yake bila kutumia mtandao ama kusubiri wakubwa wa chama wamuoneshe kama huyu kwa kweli heche bado alikuwa jembe sana kwa sasa sijaangalia labda dogo anaitwa naftali

Heche alikuwa jembe sana namu appriciate siku zote,,

Miongoni mwa vijana wa CHADEMA ninao wakubali kumrithi John Heche mmoja wapo ni Kijana Daniel Naftal ana Explosure kubwa, anakijua chama amekuwa ndani ya chama kwa muda mrefu ni mfia chama, amefukuzwa chuo kwa ajili ya CHAMA na misimamo yake ana nidhamu na heshma na pia hana skendo za usaliti ndani ya chama, kwa kweli akitangaza nia ya kugombea nitamuunga mkono labda ajitokeze mwengne zaid yake maana naipenda BAVICHA yangu, sitokuwa tayari kumuunga mkono mtu goyigoyi anayetaka sifa tuu zakuwa Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA.
 
Heche alikuwa jembe sana namu appriciate siku zote,,

Miongoni mwa vijana wa CHADEMA ninao wakubali kumrithi John Heche mmoja wapo ni Kijana Daniel Naftal ana Explosure kubwa, anakijua chama amekuwa ndani ya chama kwa muda mrefu ni mfia chama, amefukuzwa chuo kwa ajili ya CHAMA na misimamo yake ana nidhamu na heshma na pia hana skendo za usaliti ndani ya chama, kwa kweli akitangaza nia ya kugombea nitamuunga mkono labda ajitokeze mwengne zaid yake maana naipenda BAVICHA yangu, sitokuwa tayari kumuunga mkono mtu goyigoyi anayetaka sifa tuu zakuwa Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA.

ben saanane haumkubali?
 
Mods, Please hii haifai heading na content haviendani! Naomba mtutolee huu ujinga wa watoto wa bavicha hapa!!

cc: · Paw,
PainKiller
Na mpaka sasa haujatoka uzi upo ndio ujue mods na members wanavyokupuuza.

Unadhania upo Lumumba? JF huiwezi nimekwambia. Kitimoto kinakuponza
 
Kwa hapa hata mimi naungana na wewe, Mawazo kama umri unatosha ana fiti, Tatizo lake alikuwa Gamba tuu zamani. Mwenyekt ajaye Tupate mwenye sifa zote km za mawazo na itapendeza zaidi akose sifa moja tuu yakutoka Ugambani.
Tunataka kiongozi akisimama jukwaani anaeleweka BENSAANANE DOMO ZITO MKUU, HAWEZI JUKWAA HATA DAKIKA TANO KWA WANAO MFAHAMU ANA VIDOLE VYEPESI KUANDIKA KWENYE SOCIAL MEDIA TUU. Tukipata Mwenyekiti wa dizain hii hatoishimika na anaowaongoza SINA BIFU NA BEN na ni rafik yng lakini naipenda sana BAVICHA yangu.

Hakuna haja ya kujianzishia thread humu ukilenga kupima upepo na matarajio yako yakaenda ndivyo sivyo na sasa unaanza kutukana watu

Mnaweweseka nini .?

Hizi ni hofu tu, hebu fanyeni kazi huko badala ya kufikiria namna ya kumchafua Ben Saanane kila saa kwa ajili ya Uenyekiti.
 
Heche alikuwa jembe sana namu appriciate siku zote,,

Miongoni mwa vijana wa CHADEMA ninao wakubali kumrithi John Heche mmoja wapo ni Kijana Daniel Naftal ana Explosure kubwa, anakijua chama amekuwa ndani ya chama kwa muda mrefu ni mfia chama, amefukuzwa chuo kwa ajili ya CHAMA na misimamo yake ana nidhamu na heshma na pia hana skendo za usaliti ndani ya chama, kwa kweli akitangaza nia ya kugombea nitamuunga mkono labda ajitokeze mwengne zaid yake maana naipenda BAVICHA yangu, sitokuwa tayari kumuunga mkono mtu goyigoyi anayetaka sifa tuu zakuwa Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA.

Nina wasiwasi kama kweli nyie ni wanacdm au mawakala wa ibilis tu,CDM hatuna watu wanaowaza vyeo kama ninyi
 
naftal anafaa,anajua kujenga hoja na kulitawala jukwaa.Ben ni mzuri ila tatizo ni uwezo jukwaani anafaa kuwa katibu wa bavicha au Mkurugenzi wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
 
Hakuna haja ya kujianzishia thread humu ukilenga kupima upepo na matarajio yako yakaenda ndivyo sivyo na sasa unaanza kutukana watu

Mnaweweseka nini .?

Hizi ni hofu tu, hebu fanyeni kazi huko badala ya kufikiria namna ya kumchafua Ben Saanane kila saa kwa ajili ya Uenyekiti.

kamanda we tulia kiongozi anajulikana tu. Uwezo wa mtu utaamua.
 
naftal anafaa,anajua kujenga hoja na kulitawala jukwaa.Ben ni mzuri ila tatizo ni uwezo jukwaani anafaa kuwa katibu wa bavicha au Mkurugenzi wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa

Naftal kwa sasa ninani'? Amewahi kufanya nini? Uwezo wake kauonesha wapi? Au ndio wewe unajipigia debe?
 
Back
Top Bottom