Natamani awe MOHAMMED MTOI.Itasaidia kuitangaza CDM mkoa wa tanga usio na hats mbunge mmoja wa CDM.
Thubutu yake,hiyo nafasi ni nyeti haiwezekana mtu mwenye jina la "MOHAMEDI" akapewa.
.........
"Lakini kuna vijana wamesurubiwa
ndani ya chama kwasababu tu
wamekuwa wakiniunga mkono.
Mchange Habib alishinda uchaguzi wa
Umoja wa Vijana, Lakini matokeo yake
yakafutwa na kupewa mtu mwingine, Kwasababu yangu." ZITTO KABWE