Mrisho Ngassa apandishwa kizimbani


hiiii itakuwa fundisho kwa wale wachezaji wanaohisi kuzaa ni kitu kidogo tu

kuoa utaoa lakini ukizaa kutunza jukumu lako wangu ngassa

mbaya zaiidi alipomwocha src ni kademu kalichomgombanisha mwimbaji flora ngasa noo flora mbasha na mumewe ..aka mdogo wake flora

hako kalibadilisha maisha ya ngassa kabisa na hata flora alikuwa akijua mdogo wake huyu wa hiari akitembea na mrisho halfan ngassa wakati ni mume wa mtu

nahisi ukimyaa hu huu ndio umemzawadia yale yanayotokea kwenye ndoa yake ..ngassa ni shahidi wa hili na mkewe ....

Tubadilike turekebishe maisha yetu hata kama una ka stigma pembeni

lazima nyumbani uwaheshimu ati
 
Du noma sana demu wa kimakonde ni shida amepiga vizuri hesabu zake? Laki 2 na nusu kwa miaka mi3 ni 9m tu labda apiganie hizo nyumba achukue hiyo ya yombo ye amwachie ya tegeta,maana nakumbuka alisema ana nyumba nne mbili dsm na nyingine 2 mwanza na za dsm zina thamani ya milioni 100 mia @.
 
Kwa picha zile...nilisitisha ushabiki kwa yanga....na nilisusia kuishangilia stars kila alipokuwa anapangwa.
 
Wanawake wengine jamani, kwenda kudai hadi kabati la vipodozi ndiyo nini?
Wakati mwingine na sisi tuwe wajasiliamali vinginevyo hawa wanaume watatunyanyasa sana.

umenena mkuu,mwanamke mwenye sikio kamemuingia!!
 
Du noma sana demu wa kimakonde ni shida amepiga vizuri hesabu zake? .

Ngassa kashakua Kama mamwinyi.babaake alimwoza kule Mwanza,Madega akamwoza,akaongeza wa 3.achilia vicheche...anasema ana umri gani tena?
 
Haya boss ngasa..nkeo anadai mpaka pasi
 
matunzo? angedai huduma muhimu ya kimwili, tangu 2011 hajafanya tendo la ndoa! pole na ukipata taraka katafute mume mungine 'man U'
 
Ndoa na masupastaa ni majanga,mnao oa au kuolewa mkae mkijua hivyo.labda nawe uwe kicheche
 
Hakuna uswahili hapo wacha adai haki yake, tena kamhurumia, mswahili ni huyo Ngasa mwenyewe anayeoa oa bila mpangilio
 
Ngassa kashakua Kama mamwinyi.babaake alimwoza kule Mwanza,Madega akamwoza,akaongeza wa 3.achilia vicheche...anasema ana umri gani tena?

toka nimejua mwaka 2006 ana sema ana miaka 17 mpaka leo umri wake umegoma kabisa kwenda mbele umeganda palepale ulipo
 
Wangekuwa na mahakama yao ya KADHI inayoendeshwa na wao wenyewe si wangepelekana huko..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…