Mimi nilikutana nae Mpanda mjini kwenye mgahaswa,alikuwa anahamasisha NYUMBA NI CHOO,alikuwa kavaa rabaHuyu sio mara zote anakuwa peku. Kuna sehemu nyingi na nina shuhuda nazo amefika na viatu. Huyu ana sharti la kutovaa viatu on some days.
Kuna tajiri mmoja alikua hivi, yeye ilikua kila alhamisi lazima awe peku. Kinachomcost Mpoto mpaka anabainika kirahisi ni kwa sababu ni mtu maarufu ambaye anaitwa huku na kule ama analazimika kwenda huku na kule.
Wapo matajiri wengi hukaa peki, lakinj unakuta siku yakukaa peku anashinda dukani kwake kutwa nzima inakuwa sio rahisi kumchunguza.
Hiyo ni brand kajitengenezea tu. Ndio utambulisho wake Ila haimaanishi havai viatu...Ndivyo alivyowadanganya?
Mwenzenu anavaa sendo! Akiona camera anavua anakaa peku
Nilimuonaga Boma kwa mkuu wa mkoa na Sendo zake hana habariiii
Wewe mjinga umenichekesha sanaHadi ‘Magambuti’ anavaa.
Akiona umaarufu umeanza kupungua baada ya watu kumstukia, anaweza akaja na kiki ya kujifanya yeye ni kibendera🏳️🌈🏳️🌈
ataishia na matende cku c nyingiWewe fikiria utembeee mwaka mzima peku na kusafiri peku nani anaweza hilo?
Mimi najuwa ili upate kibali kuna gharama za kulipia kibali hakiji hvhivi japo Kuna bahati pia.
View attachment 2973684
Na tasbihi ☺😂 Kama wewe ulivyofanikiwa kuniaminisha una kanzu moja🤸
Sijui 😁😁Tasbihi ndio nini?
Subiri nigoogle! Nikikuta maana yake ni tusi nakupiga banSijui 😁😁
Sawa na mazoezi ya yoga.Pia ukiachana na hizo habari za mpoto.
Kutembea peku huwa ni tiba ya kufungua Root chakra.
Kwa watu wanaofanya kazi za ubunifu Kama
Mziki
Kuandika
Kuchora
Kuongea.
N.k
Ukifungua root chakra kwa kutembea peku huwa inaleta nguvu ya innovation Sana .