Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,430
Shida ukishaharibu cv historia huwa haifutiki amekumbuka shuka.kwa maoni yangu...jamaa sio kiongozi mzuri sana ingawa ameonesha kuimarika kiuongozi tofauti na mwanzo ambapo nadhani alikuwa anamuiga Bashite
Sent using Jamii Forums mobile app
Maoni na mtazamo wako viheshimiwe japo huyo ni miongoni mwa viongozi wa hovyo kuwahi kutokea
Hayo ni maoni yake na mtazamo wake na ndio uhuru wa kujieleza mnaolalamikia mmebaniwa ambao unakomaa kuubana.
Sasa mbona mnasema hazina ya Taifa? Acheni ubabaishaji watanzania sio wajingaAloyafanya sisi Wa Arusha ndo tunayaona. He made Arusha great again. Yes ni hazina kwetu sisi wanafamilia Wa Arusha. By the way pole sana. Habari ndo hiyooo
Hakika RC Gambo ni kiongozi anaeacha alama, Kijana aliewakilisha vijana vyema sana. Amegusa kwa uzur maisha ya wamama wengi, vijana wengi wazee na watoto Wa Arusha. Amerejesha amani mkoani Arusha. Hakika ni jembe na tupo nyuma yako
Hakika RC Gambo ni kiongoz
Great again? Kwa ile stand pale kilombero?Aloyafanya sisi Wa Arusha ndo tunayaona. He made Arusha great again. Yes ni hazina kwetu sisi wanafamilia Wa Arusha. By the way pole sana. Habari ndo hiyooo
Kilombero pale mvua ikiwa imenyesha ahahahhahah!.Great again? Kwa ile stand pale kilombero?
Kweli akili za kawaida sio jambo la kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna lolote ,upambe tu u akuwashaHakika RC Gambo ni kiongozi anaeacha alama, Kijana aliewakilisha vijana vyema sana. Amegusa kwa uzur maisha ya wamama wengi, vijana wengi wazee na watoto Wa Arusha. Amerejesha amani mkoani Arusha. Hakika ni jembe na tupo nyuma yako
Hakika RC Gambo ni kiongoz