K KakaNanii JF-Expert Member Sep 28, 2008 325 52 Aug 10, 2011 #1 huyu dada mrembo wa KibahaView attachment 35151
First Born JF-Expert Member Jul 11, 2011 5,310 1,473 Aug 10, 2011 #2 Mi nimempenda jamani, kanivutia kila kitu.
Bright Smart JF-Expert Member May 4, 2011 644 311 Aug 10, 2011 #4 dah!! aisee kiukweli na mimi sijakapitisha kabisa kama kamsumari vile!!!
Good Guy JF-Expert Member Oct 24, 2010 3,809 1,406 Aug 10, 2011 #5 jestina said: kamekakamaa kama mti!!! Click to expand... Wivu huo!
Daffi Jr JF-Expert Member Jun 25, 2011 3,825 906 Aug 10, 2011 #6 Mrembo ni mkali balaa!IN SHORT NIMEMPENDA
P pori Member Mar 12, 2010 86 12 Aug 10, 2011 #7 mrembo wa kibaha? mimi nimeone kijiti tu. Teh teh teh!
Fasouls JF-Expert Member Jun 24, 2011 939 316 Aug 10, 2011 #8 Hivi wanaume wanaovutiwa na wanawake kama hawa ni nin kna wavutia? Mana hapo ni mifupa mitupu!(skeleton)
Hivi wanaume wanaovutiwa na wanawake kama hawa ni nin kna wavutia? Mana hapo ni mifupa mitupu!(skeleton)
babukijana JF-Expert Member Jul 21, 2009 13,145 16,061 Aug 11, 2011 #9 miss kibaha??? mbona nyuma yake kuna bango la miss UGANDA??tafadhali punguza fix
Dumelambegu JF-Expert Member Jan 28, 2011 1,052 257 Aug 11, 2011 #10 mmhhhh, ukikakaanga hupati mafuta hatackijiko kimoja. Kamrkakamaaaa kwelikweli.
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,608 52,339 Aug 11, 2011 #11 hivi ndo binti yangu nimruhusu akafanye hivyo, labda anitoroke duuuu.
gmosha48 JF-Expert Member Oct 19, 2010 2,399 1,478 Aug 11, 2011 #12 babukijana said: miss kibaha??? mbona nyuma yake kuna bango la miss UGANDA??tafadhali punguza fix Click to expand... Mkuu inabidi ukafanye kazi na wale jamaa wa intelijensia. Macho yako ni makali sana.
babukijana said: miss kibaha??? mbona nyuma yake kuna bango la miss UGANDA??tafadhali punguza fix Click to expand... Mkuu inabidi ukafanye kazi na wale jamaa wa intelijensia. Macho yako ni makali sana.
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Aug 11, 2011 #14 Huu ndo ugonjwa wangu, mwenye namba yake ani PM,
M mbongopopo JF-Expert Member Jan 24, 2008 1,611 759 Aug 12, 2011 #16 Tabu ya hawa ma miss vijana wa mjini waliojaa ukimwi wana waharibu sana
Caroline Danzi JF-Expert Member Dec 19, 2008 3,713 1,263 Aug 12, 2011 #17 Jaribu ufe! mna hela za kuwapa!!
U Uncle Jei Jei JF-Expert Member Jan 7, 2011 1,684 2,157 Aug 12, 2011 #19 Fasouls said: Hivi wanaume wanaovutiwa na wanawake kama hawa ni nin kna wavutia? Mana hapo ni mifupa mitupu!(skeleton) Click to expand... <br /> <br /> ishu yao ni balaaaaa!! Si ya kitoto yaani huchoki!
Fasouls said: Hivi wanaume wanaovutiwa na wanawake kama hawa ni nin kna wavutia? Mana hapo ni mifupa mitupu!(skeleton) Click to expand... <br /> <br /> ishu yao ni balaaaaa!! Si ya kitoto yaani huchoki!
NDINDA Platinum Member Apr 4, 2011 10,333 47,088 Aug 12, 2011 #20 Nadhani unamaanisha kitu kingine na miss kibaha, kama ukiangalia vizuri kule nyuma kuna kitu kama miss uganda, 20.., sasa kibaha ya uganda au ya tanzania?
Nadhani unamaanisha kitu kingine na miss kibaha, kama ukiangalia vizuri kule nyuma kuna kitu kama miss uganda, 20.., sasa kibaha ya uganda au ya tanzania?