Mrembo wetu

Hivi wanaume wanaovutiwa na wanawake kama hawa ni nin kna wavutia? Mana hapo ni mifupa mitupu!(skeleton)
 
hivi ndo binti yangu nimruhusu akafanye hivyo, labda anitoroke duuuu.
 
Nadhani unamaanisha kitu kingine na miss kibaha, kama ukiangalia vizuri kule nyuma kuna kitu kama miss uganda, 20.., sasa kibaha ya uganda au ya tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…