Mrembo wa jf


iam talking to you watu8... do you hear me watu8..?

usiongee mak***si watu8..!!
 
Last edited by a moderator:

Kwa JF huyo ni mmoja in 100
 
iam talking to you watu8... do you hear me watu8..?

usiongee mak***si watu8..!!

napenda ku-admit makosa yenye uhalisia anza mwanzo anaropoka uone kama alisoma thread na kuielewa au alitokea kwenye gongo? mimi huwa nina huluka moja silei wala sidanganyi mtu nampa zake muda wowote na kwa namna yeyote ile! onyesha kosa na kuwa huru kulitetea si unakurupuka unatokea kwenye konyagi zako za viloba unachangia upuuuzi na kudhalilisha hata asiyestahili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Mkuu Julius, hongera sana!. Hii iliishawahi nitokea nikiwa Arusha, mrembo fulani wa jf, alipandia pm, hatimaye tulionana!. Sometimes jf is for real!.
P.
 
hongera mwaya
thread kama hizi ni adimu sana hapa siku hizi
hongera kwa kuona mazuri hayo
 
...labda waliongea na muhusika kamruhusu kuanzisha thread hapa ali mradi hamtaji kwa ID yake, sioni tatizo kama wahusika wenyewe wamekubaliana.

same to mi.

btw watu hatuna jema.
wakileta uzi wa kuponda tunakuja juu
za kucfia nazo the same. !!!????

mbombo jilipo. lol
 
Aisee mkuu julius mahinya, kwanza hongera sana kwani naona mtego wako kwa mademu umeanza kunasa! Najua wataingia mkenge wengi, nakusihi tu usiwaumize watoto wa watu (hii ni kwa mjibu wa avatar yako inayoonyesha unasaka mchumba plus your signature, teh teh teh)! Dah, wanaume tuna gia nyingi kweli za kumwingia mwanamke, mara wengine tunawafananisha na dada zetu (refer Mkunde Original)
 
Malengo yako yalikuwa nini?
 
Malengo yako yalikuwa nini?

kama ulimanisha malengo ya kuleta thread hii nimeisha eleza kama ulimanisha kukutana nae kuwa zaidi ya marafiki maana tulikuwa marafiki wa kawaida!
 
She is pretty girl, cute, good looking, portable but talkative!!!!!
Kuna watu wanaongea kizungu nyie wacheni tu.

Kwenye mada narudi, huyo mwanamke unasema anaheshima sana na anaheshimika, kwakweli mimi nimeisha mdharau kabla hata sijamuona

Mwambie mwanamke anaye heshimika hafati wanaume kwao mpaa siku kaolewa na huyo mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…