BI DADA KANUNUA CM MPYA...! Touch
Screen
Mdada : bebi mambwo
Jamaa : poa nambie
Mdada : vipw umelalw?
Jamaa: unasemaje? Cjakuelewa hapo.
mdada : nauliza umelalya?
Jamaa: mmmh! Cjalala baby hata
ucngiz cna.
Mdada : mim menyew cjalwala kunya
mijitu
inapiga kelelw hapa nje kwetu hadi
inaboo wa.
Jamaa: unasema ku..?
Mdada : kuna kelelwe hapa nje ya
numba yetu
usingwizi hakuna kabwisa.
Jamaa: hahaha pole huny.
Mdada : bwebi mbona unanichekwa
sasa?
Jamaa: jaribu kuandika vizuri baby.
Mdada : hehehehwehwehwe. Cunajua
simu
mupya alafu skirini tachi kila nikibinya
elufi hii
inakuja elufi ingine. Pwelo bebwi
wangu.
Jamaa : hahhaaa haya myn.
CHEZEA SCREEN TOUCH WEWE