jamani kuna rafiki yangu amepata demu ni mrembo ila nikikojozi, hivyo anaomba msaada.
hahaahahahahahPole sana! Nunua mipira ya kulalia
jamani kuna rafiki yangu amepata demu ni mrembo ila nikikojozi, hivyo anaomba msaada.
Good idea.Tatizo la bedwetting ni kubwa kuliko wengi wetu tunavyoweza kufikiria humu MMU na sababu huwa ni nyingi,nyingine ni za kisaikolojia na nyingine ni za maumbile. Mwambie jamaa atafute ushauri wa wataalam,na kikubwa kuliko vyote hapa ajitahidi asimudhalilishe kama alivyoshauri mdau mmoja hapo juu.