Mrema: Majaji wa mahakama kuu waliostaafu na kujiuzulu walihusikana biashara ya dawa za kulevya

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Mwenyekiti wa bodi ya Parole Augustino Mrema ameipongeza serikali kwa ku deal na mapapa wa madawa ya kulevya na sasa hivi vigogo wakubwa wanaohusika na dawa hizo wanaondoka

Amesema hayo alipokua akihojiwa na kipindi cha Easti Africa radio akizungumzia hali ya msongamano magerezani na kupendekeza wanaokutwa na kete wasipelekwe mahakamani bali hospitali, pia amesema ugomvi na madai madogo sio lazima kupelekana mahakamani kwani inasababisha mahabusu kusongamana sana na wafungwa.

 
Mzee wa Kiraracha na yeye anatumika kama bwana yule wa buguruni.Kweli njaa mbaya!
 
Mzee Mrema amejitahidi kulitumikia Taifa bila kuweka maslai binafsi mbele,nadhani inafaa kwasasa aachwe apumzike na asipewe majukumu yoyote!! Kunavitoto vinamkashifu utadhani mtoto mwenzao...mbayasana
 
Mrema huyu ndo yule wa wizara ya mambo ya ndani????
Yule mgombea uraisi wa NCCR mwaka 1995????


muuza kahawa tafadhar niongeze kashata nyingine
 
Back
Top Bottom