Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,183
- 2,100
Kutoka akaunti ya X ya Jon Mrema
Salaam,
kwa kuwa kundi Sogozi la G -55 limekufa rasmi na halipo tena , naomba kuwatangazia rasmi kuwa Usemaji wangu kwenye Kundi hilo umekoma rasmi .
Hivyo basi , kama kuna jambo lolote litakalotumia jina la Kundi hilo ieleweke kuwa ni watu watakuwa wanataka kutumia jina hilo kwa maslahi yao binafsi na hawaisemei G- 55 ambayo imeshakufa rasmi na haipo tena .
Nimeona niandike kwani kuna taarifa kuwa kuna watu wamepanga kutumia jina hilo ili kuwahadaa umma kuwa kundi hilo bado lipo jambo ambalo sio la kweli hata kidogo.
Asanteni sana ,
Aliyekuwa Msemaji wa G-55
Nakala : Media house zote .
Salaam,
kwa kuwa kundi Sogozi la G -55 limekufa rasmi na halipo tena , naomba kuwatangazia rasmi kuwa Usemaji wangu kwenye Kundi hilo umekoma rasmi .
Hivyo basi , kama kuna jambo lolote litakalotumia jina la Kundi hilo ieleweke kuwa ni watu watakuwa wanataka kutumia jina hilo kwa maslahi yao binafsi na hawaisemei G- 55 ambayo imeshakufa rasmi na haipo tena .
Nimeona niandike kwani kuna taarifa kuwa kuna watu wamepanga kutumia jina hilo ili kuwahadaa umma kuwa kundi hilo bado lipo jambo ambalo sio la kweli hata kidogo.
Asanteni sana ,
Aliyekuwa Msemaji wa G-55
Nakala : Media house zote .