Kwa sababu huijui Katiba ya Chaumma unaweza kujiandikia chochote , Katiba iko wazi kuwa kama Mwenyekiti akitoka upande mmoja wa Muungano,Katibu mkuu lazima atoke upande wa pili wa Muungano ,period .
Mmezoea kuishi kwa kutunga sana uongo, acheni kuwa waongo na wazushi .
Chaumma next level ,inaenda kushiriki uchaguzi na kufungua fursa na milango mipya ya kupambana kuhakikisha sauti za wananchi zinasikilizwa na kutekelezwa
Anaandika mrema ktk X yake
USHAURI WANGU
VIJANA MSITUMIE KUWA NGAZI YA WANASIASA KUJINUFAISHA NA FAMILIA ZAO
Mmezoea kuishi kwa kutunga sana uongo, acheni kuwa waongo na wazushi .
Chaumma next level ,inaenda kushiriki uchaguzi na kufungua fursa na milango mipya ya kupambana kuhakikisha sauti za wananchi zinasikilizwa na kutekelezwa
Anaandika mrema ktk X yake
USHAURI WANGU
VIJANA MSITUMIE KUWA NGAZI YA WANASIASA KUJINUFAISHA NA FAMILIA ZAO