Habari za mchana!
Naomba nikuulize, ulikuwa unafanya utafiti, unatafuta mke, au unatafuta rafiki?!
Kama jibu lako ni mojawapo, tambua jambo moja, hakuna kitu muhimu kama kuwa na kifua. Hukumpata uliyekuwa unamtarajia basi baki nalo. Hakuna mtu mbaya, awe mwanamke au mwanaume! Kila mmoja ako na uzuri wake!
Hii ni jamii, kuna watu wa kila aina! Wenye maumbo tofauti, wenye kimo tofauti na wenye rangi tofauti!
Weekend njema.