Mrejesho

Sijambo Kigori. Uwepo wako tu uliojaa afya tele kwangu mimi ni baraka tosha sihitaji kingine.
Mimi sijambo kabisaa
Namshukuru Mungu kwa kweli, anazidi kunibariki. Vipi wewe eti, hujambo?!
 
Utoto huo, weka sura lako hapa, au la sista wako ndo tuwakompee na tuliokutana nao humu.
 
Kwa nini hukupita kwa consultant wako hapa[mimi], ukitaka upate wife material mkali humi basi usiandike uzi wa kutafuta, kutaneni coincidently kama mimi na unforgetable.

Amini usiamini wote wanaondika nyuzi za kitafuta wenza/wapenzi humu ndani wana kasoro moja/kadhaa na wengi wako kama ulivyoshuhudia.

Mimi nimeonana nao wengi sana humu, hata yule aloandika boooonge la uzi lenye kiingereza tele lkn trust me ukikutana naye utakataa sio yeye.

Cc: Unforgetable
 
Mkuu itabidi nilete uzi wa kushuhudia maana nmeshashuhudia kukutana na mwanamke mzuri humuhumuna sasa tupo kwenye maandalizi ya ndo haya mwezi wa nne nikitulia nitaandika uzi
 


Mkuu vijana wa wenye hulka za namna hii ndio wanaoziba bahati za wengine na kusababisha wadada kufunga PM zao. Hizi ni akili za mtu ambaye bado hajapevuka vizuri.
 
Mkuu vijana wa wenye hulka za namna hii ndio wanaoziba bahati za wengine na kusababisha wadada kufunga PM zao. Hizi ni akili za mtu ambaye bado hajapevuka vizuri.
Anaonekana kabisaa, awe na kifua!
 
Uandishi wako bado unatoa jibu kwamba wewe bado mvulana.

Mwanaume gani unakifua cha plastic namna hiyo? Unashindwa kutunza jambo dogo tu hilo?

Mbaya kwako, malaika kwa mwenzio.
 
Unapata wapi ujasiri wa kumkebehi kiumbe aliyeumbwa kwa sura na mfano wa yule aliye juu ?
 
Wewe Ulipm wageni wewe! Wapm wakongwe uone vitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…